Vilaza, wafoji vyeti mlio hapa JF, Thibitisheni wizi wa JPM na sio ngojera zenu!

Vilaza, wafoji vyeti mlio hapa JF, Thibitisheni wizi wa JPM na sio ngojera zenu!

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Mmekuwa mkisema, Serikali ya JPM, ilikuwa ikipika data ya makusanyo, makusanyo hayakuwa hayo, alikuwa akikusanya billion kadhaa tu,

Cha ajabu sasa, miradi ya matrion iliyokuwa ikiendeshwa na serikali yake na hakuna hata mmoja uliotelekezwa na awamu yake, tena bila tozo wala miamala ya kibenk

Ngojera nyiiingi, eti hoo, kaiba, kafanya hiki na kile!

Leteni ushahidi, tena kaondoka ikulu bila kujipanga kwamba afiche baadhi ya mafaili!
 
Mmekuwa mkisema, Serikali ya JPM, ilikuwa ikipika data ya makusanyo, makusanyo hayakuwa hayo, alikuwa akikusanya billion kadhaa tu,

Cha ajabu sasa, miradi ya matrion iliyokuwa ikiendeshwa na serikali yake na hakuna hata mmoja uliotelekezwa na awamu yake, tena bila tozo wala miamala ya kibenk

Ngojera nyiiingi, eti hoo, kaiba, kafanya hiki na kile!

Leteni ushahidi, tena kaondoka ikulu bila kujipanga kwamba afiche baadhi ya mafaili!
Unataka ushahidi Juu ya Nini ?

Aliiba Til 1.5 Hadi CAG akathibitisha
 
Mmekuwa mkisema, Serikali ya JPM, ilikuwa ikipika data ya makusanyo, makusanyo hayakuwa hayo, alikuwa akikusanya billion kadhaa tu,

Cha ajabu sasa, miradi ya matrion iliyokuwa ikiendeshwa na serikali yake na hakuna hata mmoja uliotelekezwa na awamu yake, tena bila tozo wala miamala ya kibenk

Ngojera nyiiingi, eti hoo, kaiba, kafanya hiki na kile!

Leteni ushahidi, tena kaondoka ikulu bila kujipanga kwamba afiche baadhi ya mafaili!
FB_IMG_1665831491154.jpg
 
Mmekuwa mkisema, Serikali ya JPM, ilikuwa ikipika data ya makusanyo, makusanyo hayakuwa hayo, alikuwa akikusanya billion kadhaa tu,

Cha ajabu sasa, miradi ya matrion iliyokuwa ikiendeshwa na serikali yake na hakuna hata mmoja uliotelekezwa na awamu yake, tena bila tozo wala miamala ya kibenk

Ngojera nyiiingi, eti hoo, kaiba, kafanya hiki na kile!

Leteni ushahidi, tena kaondoka ikulu bila kujipanga kwamba afiche baadhi ya mafaili!
Wewe Mataga tulia! Ccm wote ni wezi tu. Hivyo kwa kitendo tu cha kuwa ccm, tayari huyo mtukufu wako naye ni mwizi tu
 
Unataka ushahidi Juu ya Nini ?

Aliiba Til 1.5 Hadi CAG akathibitisha
Mkuu huyu bwana si ameshatangulia mwaka wa pili sasa, mnasubiri nn kufreez account zake, mtoe hizo 1.5T tukajengee SGR? Fanyeni km yy alivyokua anazifanya account za watu zenye hela zisizo na maelezo...sio kila siku mnalialia kawaibia 1.5T then mmeshindwa ku recover ht mia kutoka kwenye account zake...otherwise mkae kimya na story zenu zisizo na udhibitisho.
 
Back
Top Bottom