Si kweliWana Jf naomba kuuliza hivi kuna uhusiano gani wa kunywa pombe tena zile kali kama konyagi,boss,valuu na nyingine jamii ya spirit,nimeona vijana wengi wakidai kuwa baada ya kunywa ukiwa kwenye game paformance yako inakuwa juu zaidi,je ni kweli
baada ya kunywa ukiwa kwenye game paformance yako inakuwa juu zaidi,je ni kweli
Kwanini utuulize ilhali hiyo sio sumu basi jaribu ila usidindishe mb$$, k#m@ kwa jirani. Shauri lako
ha ha ha ha.Unazungumzia game gani? Kama ni soka lazima performance ishuke tu:frown:!
duuuuh hiyo kali bazazi.Kwanini utuulize ilhali hiyo sio sumu basi jaribu ila usidindishe mb$$, k#m@ kwa jirani. Shauri lako
Wana Jf naomba kuuliza hivi kuna uhusiano gani wa kunywa pombe tena zile kali kama konyagi,boss,valuu na nyingine jamii ya spirit,nimeona vijana wengi wakidai kuwa baada ya kunywa ukiwa kwenye game paformance yako inakuwa juu zaidi,je ni kweli