Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Ni siku 3 sasa, wakuu kunani hapa nini maana yake?
naona kama sio kawaida.
naona kama sio kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bundi anakula pia mizoga, na ana uwezo mkubwa wa kuhisi/kunusa harufu ya mzoga kutoka umbali mrefu.Ni siku 3 sasa, wakuu kunani hapa nini maana yake?
naona kama sio kawaida.
Mbona mahospitalini hakuna bundi wengi na huko ndiko watu wanafariki kila siku?Kuna mzoga jirani. Anaweza kuwa mnyama. Lakini pia mgonjwa anayekaribia kufa anatoa molecules zinazofanana nanmizoga na hivyo anaweza kuwavutia wanayama wala mizoga kama bundi.
sio vibaya na ni jambo jema kama unatumia kwa biashara halaliNa nunua mayai ya bundi mkuu
duh kwaiyo ni official tuna mzoga hapa kitaa? tufanye nini sasa?Bundi anakula pia mizoga, na ana uwezo mkubwa wa kuhisi/kunusa harufu ya mzoga kutoka umbali mrefu.
Hivyo basi, huenda hapo jirani kuna mnyama amekufa au anaumwa hivyo dalili za kuanza "kuoza" zimeanza kujitokeza....... Kumbuka hata binadamu ni mnyama
Sasa mkuu cha ajabu nini hapo? Bundi ni ndege kama wengine. Huenda hapo kwako kavutiwa zaidi kuwepo kwa siku za karibuni.Ni siku 3 sasa, wakuu kunani hapa nini maana yake?
naona kama sio kawaida.
Ngozi nyeusi kila kitu inafikiria ushirikina tu 🤣🤣🤣🤣🤣. Yaani kashindwa kurusha mawe eti🤣kama unakereka siku ya 4 akija chukua mawe mkimbize acha imani za hovyo
Nimependa hii response.Mbona mahospitalini hakuna bundi wengi na huko ndiko watu wanafariki kila siku?
yaniiii🙌🏾Ngozi nyeusi kila kitu inafikiria ushirikina tu 🤣🤣🤣🤣🤣. Yaani kashindwa kurusha mawe eti🤣
Fukuza hao ndege, ukiona huwezi nenda kwa mganga wa kienyeji akupigie ramli.duh kwaiyo ni official tuna mzoga hapa kitaa? tufanye nini sasa?
😳Ndugu marehemu mtarajiwa
Unatokea mkoa gani,maana kuna baadhi ya sehemu kama Rukwa tunaweza sema kijicho ila kama Dar kuna jamboNi siku 3 sasa, wakuu kunani hapa nini maana yake?
naona kama sio kawaida.