Vilivyo-expire ni vingi aisee, video zaidi zarekodiwa

Vilivyo-expire ni vingi aisee, video zaidi zarekodiwa

Huyo jamaa anayejiita mtaalam wa maabara ndo mwenye makosa, njia aliyotumia kurekodi na kusambaza hizi clips ni ya kuidhalilisha idara ya afya ya nchi.

Kama ana nia njema angewasiliana na uongozi.
 
Huyo jamaa anayejiita mtaalam wa maabara ndo mwenye makosa, njia aliyotumia kurekodi na kusambaza hizi clips ni ya kuidhalilisha idara ya afya ya nchi.

Kama ana nia njema angewasiliana na uongozi.
utajuaje kama alishawasilisha na hakuna lililofanyiwa kazi,ukweli utabaki kuwa ukweli ingawa unapindishwa
 
Yani hawa wanazidi kuongezeana matatizo tu sasa huyo anaepiga mziki kama yuko kilabuni sijui ndo boss wao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] James kaliwa kichwaa hatoboi hii kesi hata akituma video ya kuonesha mrdt zilizoexpire sirikali haitakubalii
 
Yani hawa wanazidi kuongezeana matatizo tu sasa huyo anaepiga mziki kama yuko kilabuni sijui ndo boss wao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] James kaliwa kichwaa hatoboi hii kesi hata akituma video ya kuonesha mrdt zilizoexpire sirikali haitakubalii
[emoji23][emoji23][emoji23]
Jamaa anakula singeli
Sauti hadi mwisho
 
Huyo nesi ndiye anatetewa hana kosa?

Hii nchi hii

Pathetic.
 
Wanampa shida tuu ndugu yangu W: Robert kujibu hoja, pole sana ndugu yangu rafiki.
 
Back
Top Bottom