Uchawi
Ulozi
Ushirikina
Hivi vitatu nimefanya navyo kolabo sana
Kulala makaburini...kwenye miti...kwenye mapango..mochwari...nknk
Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
Mshana karibu mkuu!! Long sana
Ishirikina ni kombaini ya uchaeo na uloziHivi kuna tofauti gani kati ya uchawi ulozi na ushirikina?
Anga ni kubwa sana na roho zenye nguvu anuwai ni nyingi hivyo ukikossa step umekwishaWaweza share kidogo kaka?
Since October kaka ramli chonganishi zilikuwa nyingi mnoMshana karibu mkuu!! Long sana