Malisak ujumbe umefika, hila aisaidii ningekushauri ukampe huyo mwandani wako ushauri maana kama hautafunda vizuri atakuwa anapiga menu kama kawa na kubanjua as well!!!....Siku hizi makobe kibao kwa na maisha yamepanda juu!Nikiwa na maana katika utafutaji wasikuhizi nimpaka uwe umetia kitu tumboni!!!La sivyo unaweza kuanguka ukiwa kwenye foleni ukisubiri upitishiwe docoma yako!!au hata katika foleni za benki!!!:becky::confused2:Mmmmmh ni wote wanafunga???????????????????????????😛layball:
Mfungo ndio nini?Hata kama hufungi ndio usiuheshimu mfungo kaka?.
ku kloziMfungo ndio nini?
Kazi ipo.Kumbe kuna kipindi cha kutenda dhambi kwa makusudi na kipindi cha utakatifu?????
:welcome: back1 I missed you!Na Mbuzi katoliki watakuwa na furaha kwa kipindi hiki.Vifo vyao vitapungua ,maustazi wanaklozi.
:welcome:Back!!
:welcome: back1 I missed you!
Senks Binamu.Lakin mbona hukunisubiri kule njiani???? macho yangu yote yalikuwa nje nakuangalia.....
hahahahaaaa.jamani unaanza kunichekesha asubuhi hii.Kwa hiyo unajiweka pembeni uepuke msongamano sio????Uliangalia vibaya bwana.Niliyekaa naye nadhani alikuwa hajui kiswahili.Alinuna mpka mwisho.....hahaha we hukuniona tu ila mi nilkucheki nikaona kuna mtu anakukeep busy pembeni! nikajisemea tu ya nn maneno:glasses-nerdy:!!
Senks Binamu.Lakin mbona hukunisubiri kule njiani???? macho yangu yote yalikuwa nje nakuangalia.....
:confused2::confused2::A S-confused1::A S-confused1::disapointed::disapointed::Cry::Cry::faint::faint::closed_2::closed_2:hahaha we hukuniona tu ila mi nilkucheki nikaona kuna mtu anakukeep busy pembeni! nikajisemea tu ya nn maneno:glasses-nerdy:!!
:glasses-nerdy::glasses-nerdy::nono::nono:hahahahaaaa.jamani unaanza kunichekesha asubuhi hii.Kwa hiyo unajiweka pembeni uepuke msongamano sio????Uliangalia vibaya bwana.Niliyekaa naye nadhani alikuwa hajui kiswahili.Alinuna mpka mwisho.....