Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mmh kuna kitu hakipo sawa, natamani kuuliza ila uchawa unanilimit....πMore than two years mbona dada kathibitisha kwenye uzi wake watu walimuhoji huko....
Haya mambo yamefanyika kidikteta sana...
Ilitakiwa jimbo litangazwe kuwa lipo wazi, watu tuwanie.[emoji23]
Kubwa kuliko kutongozwa na mtu mmoja mara mbili
unakutana nae kumbe ni dear Ex
wababa wa JF jamani!
Kuna mambo yanapendeza sana...
πππ Una hamu ya kuvamiwa wewe, ntakuja kwako nirushe mawe juu ya bati usiku kuchaaaSmart911 sasa hivi ni wangu mkae mbali [emoji23][emoji23]
Mchukue zero IQ smart ana mtu, smart ana mtoto mzuriiiEti smart unasemaje??
Inawezakuwa ni bahati extra mtu kutumia mbinu za kivita kukupata tenaHuna bahati shoga [emoji23][emoji23]
Heheheehe sio kwamba anakujaribuInawezakuwa ni bahati extra mtu kutumia mbinu za kivita kukupata tena
Moyo wa mtu ni msituHeheheehe sio kwamba anakujaribu
Hehehehe nna mpango niwe narusha mawe na mchanga kwenye nyumba ya mtu fulan hivi πππππ Una hamu ya kuvamiwa wewe, ntakuja kwako nirushe mawe juu ya bati usiku kuchaaa