Dola Iddy Wa Chelsea
JF-Expert Member
- Sep 26, 2014
- 2,125
- 1,526
Habari za muda huu wana jamii forums!
Sio kwa kusudi la kuwashusha heshima wala kuwadhihaki ila ni kwa vituko vyao walivyovifanya ambavyo mpaka leo ukikumbuka unacheka au unathamini sana.
MEJA=>huyu yeye nakumbuka mwaka 2002 ndio wakati alioanza kazi yeye alikuwa hajui kusoma wala kuandika,
Sasa siku moja tukamjaribu tukamwambia baba kasema nenda kasage na kukoboa mahindi tukampa 500 tukamwambia baba amesema urudishe chenchi 9000 , Tukaona mwenzetu kachukulia siriaz huyoo mashineni kaenda kusaga!,
Hahahahahaha seleka likaja kaondoka kwenda kusaga saa 10 mpaka saa 12 hajarudi ,
Ndipo tukaamua kwenda kumfuatilia tukakuta analia sana mashineni kuwa anataka chenchi yake!,
Hahahahaha aiseee tulicheka nusu kuzirai,
Vipi beki tatu wenu unamkumbuka kwa lipi?
Sio kwa kusudi la kuwashusha heshima wala kuwadhihaki ila ni kwa vituko vyao walivyovifanya ambavyo mpaka leo ukikumbuka unacheka au unathamini sana.
MEJA=>huyu yeye nakumbuka mwaka 2002 ndio wakati alioanza kazi yeye alikuwa hajui kusoma wala kuandika,
Sasa siku moja tukamjaribu tukamwambia baba kasema nenda kasage na kukoboa mahindi tukampa 500 tukamwambia baba amesema urudishe chenchi 9000 , Tukaona mwenzetu kachukulia siriaz huyoo mashineni kaenda kusaga!,
Hahahahahaha seleka likaja kaondoka kwenda kusaga saa 10 mpaka saa 12 hajarudi ,
Ndipo tukaamua kwenda kumfuatilia tukakuta analia sana mashineni kuwa anataka chenchi yake!,
Hahahahaha aiseee tulicheka nusu kuzirai,
Vipi beki tatu wenu unamkumbuka kwa lipi?