TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
Kataa salamu,salamu ni utumwa
Nimenunua kifurushi ndani ya dakika 10 zilizopita,hali ilikuwa hivi
Nilipewa GB 1.1 kwa siku 3(Airtel)
Lakini sasa hivi nimeingia tena nikataka kununu kifurushi kingine hii ndiyo niliyokutana nayo,yaani kwa bei hiyo hiyo kimepunguzwa hadi MB 900.
HII NI HATARI
Nimenunua kifurushi ndani ya dakika 10 zilizopita,hali ilikuwa hivi
Nilipewa GB 1.1 kwa siku 3(Airtel)
Lakini sasa hivi nimeingia tena nikataka kununu kifurushi kingine hii ndiyo niliyokutana nayo,yaani kwa bei hiyo hiyo kimepunguzwa hadi MB 900.
HII NI HATARI