Vimetolewa visababu vingi kuhusu hili.Sasa msimamo wangu ni huu.

Vimetolewa visababu vingi kuhusu hili.Sasa msimamo wangu ni huu.

Nduna shujaa

Senior Member
Joined
Aug 14, 2022
Posts
163
Reaction score
134
Mara kadha imekuwa ikisemwa eti akifariki waziri au rais na akizikwa wanasema eti hayati fulani cjuw kisa wadhifa.Mtu akifa amekufa hakuna cheo wote ni maiti.Sasa natangaza rasmi nami nikifa niitwe hayati fulani c marehemu fulani.Over
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mara kadha imekuwa ikisemwa eti akifariki waziri au rais na akizikwa wanasema eti hayati fulani cjuw kisa wadhifa.Mtu akifa amekufa hakuna cheo wote ni maiti.Sasa natangaza rasmi nami nikifa niitwe hayati fulani c marehemu fulani.Over
Heee! umenusa harufu ya kifo chako?
 
Na ukifa lazima tukupekue tujue sababu ya kifo chako kiundani....isije ikatokea tumekuzika na condom isiyotumika bure...wewe umeshindwa kutumia utawaachia watumiaji.Jitunze mkuu,HIV is real😉
 
Back
Top Bottom