Nduna shujaa
Senior Member
- Aug 14, 2022
- 163
- 134
Heee! umenusa harufu ya kifo chako?Mara kadha imekuwa ikisemwa eti akifariki waziri au rais na akizikwa wanasema eti hayati fulani cjuw kisa wadhifa.Mtu akifa amekufa hakuna cheo wote ni maiti.Sasa natangaza rasmi nami nikifa niitwe hayati fulani c marehemu fulani.Over
Hayati maana yake hasa ni kwamba yuko hai.waziri au rais na akizikwa wanasema eti hayati fulani cjuw kisa wadhifa
Mkuu tupo hapa tunasubiri kufa.Kazi.Mali,nk ni sehemu ya stend wakati tunasubiri kufika huko.Heee! umenusa harufu ya kifo chako?
hahahahaaaa!Seema utozwe tozo kbsa mwili wako pindi ukifah mnk wee Ni hasara kwa serekali
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app