Share 'Chingy 2 - Leaders club' - G5 world
Ilikuwa kwenye show ya Chingy alipokuja dar.
Vimwana wa Bongo ni wazuri. Mimi ni Mzanzibari. nimebahatika kutembea Bongo. Ni Kweli- Lakini acha kule vimachinga, Ukryani upate wajaluo. Wajita, Wasukuma, Warangi, upate vitoto vya Iringa, wachaga wazuri nao!
Bado hujatembea Tanga -kule Mwaya!!!!!Share 'Chingy 2 - Leaders club' - G5 world
Ilikuwa kwenye show ya Chingy alipokuja dar.
Vimwana wa Bongo ni wazuri. Mimi ni Mzanzibari. nimebahatika kutembea Bongo. Ni Kweli- Lakini acha kule vimachinga, Ukryani upate wajaluo. Wajita, Wasukuma, Warangi, upate vitoto vya Iringa, wachaga wazuri nao!
Tatizo lao ninaloliona kwa sasa hivi ni wana vitambi balaa wengi wanakunywa beer na nyama choma sana........ila pozi,ukali, nawasifia.....
Chingy 2 - Leaders club - G5 world
Ilikuwa kwenye show ya Chingy alipokuja dar.....hapo vinatega back stage......anyway lakini vikali....ila havijui kucheza kudadadeki naona tatizo vitambi vya beer za bure na nyama choma....
Chingy 2 - Leaders club - G5 world
Ilikuwa kwenye show ya Chingy alipokuja dar.....hapo vinatega back stage......anyway lakini vikali....ila havijui kucheza kudadadeki naona tatizo vitambi vya beer za bure na nyama choma....
oooooh yeaah ubarikiwe ngw'aninyami kwa video hizi.....ni wakati wa wadada wetu waanze mazoezi sio kunywa bia na kujaza matumboOh my gosh!!! Yaani hawajui kucheza kabisa hao halafu usikute wananuka vikwapa..yuuuck.....hebu linganisha na hawa..YouTube - Broadcast Yourself.
Au cheki hii...YouTube - Broadcast Yourself.
oooooh yeaah ubarikiwe ngw'aninyami kwa video hizi.....ni wakati wa wadada wetu waanze mazoezi sio kunywa bia na kujaza matumbo
Hehehe totoz za Yo Yo zinapaka Rays na Yolanda tangu udogoni......
Yoyo na nyani ngabu, mna dada / wadogo wakike / wake / marafiki wa kike?
acha tu nazipa shule lakini wapi.......sema siku hizi zinanikera wanajifanya watasha sana....yes no kibao sauti kama imo ndani.....yah thts posi ninalotaka....niko nao hapa kama unaweza lianzishe...Hehehe totoz za Yo Yo zinapaka Rays na Yolanda tangu udogoni......
Heheheheee...na Yo Yo mwenyewe anapaka mafuta ya YU.....ahahahahahahaa ndio maana anamzimia Soja Boi na yuuuuuuuuuuuuuuuuu
Oh my gosh!!! Yaani hawajui kucheza kabisa hao halafu usikute wananuka vikwapa..yuuuck.....hebu linganisha na hawa..YouTube - Broadcast Yourself.
Au cheki hii...YouTube - Broadcast Yourself.