Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baleke ana51. Aziz K- 6
2. Max - 5
3. Baleke- 6
Chomoa Hilo dudu lisikuumize bure😅😅Mtoe Baleke mweke Skudu hapo...
Ili mkeka wako ubalance...
Lipi hilo au huo mwiko uko nyuma kwenu?Chomoa Hilo dudu lisikuumize bure😅😅
Mtoe weweMtoe Baleke mweke Skudu hapo...
Ili mkeka wako ubalance...
Huko kwenu ni mmoja tuu ndio mwenye akili si mwingine ni Mh Rage tuu mliobaki wote mbumbumbu.Ukimuelewa Haji manara Wala HUWEZI kupata tabu.
Wenye nazo ni wawili tu.
Hawezi,limenasiaChomoa Hilo dudu lisikuumize bure[emoji28][emoji28]
Onana ana magoli 7 msimu huu,matatu ya AFL na manne ya ligi kuu.Kwahiyo hilioni teka la magoli onana?
Nilidhani ChamaKinara wa assist ni Yao Yao jeshi, mwaka huu wanatwangwa kote kote
1)Rage mkutanoni alisema " ...... Baadhi yenu humu ni mbumbumbu....."Huko kwenu ni mmoja tuu ndio mwenye akili si mwingine ni Mh Rage tuu mliobaki wote mbumbumbu.
Manara ndio nani Yanga? Maneno ya kiongozi wa timu yana nguvu kuliko hayo ya Manara tena aliyasema akiwa huko ukoloni kwenu.1)Rage mkutanoni alisema " ...... Baadhi yenu humu ni mbumbumbu....."
Unaelewa maana ya neno Baadhi.
2)Manara alisema "...... Pale Yanga wenye akili ni wawili......."
Msimu huu utosikia mchuano wa assist wala clean sheetKinara wa assist ni Yao Yao jeshi, mwaka huu wanatwangwa kote kote
Chiba asubiri Kiluvya united FANilidhani Chama
chomoa huo mwiko nyuma utakupasua huo mtandao wa tigoChomoa Hilo dudu lisikuumize bure[emoji28][emoji28]
Rage tulimsikia wote,tatizo mashabiki wa simba mbumbumbu1)Rage mkutanoni alisema " ...... Baadhi yenu humu ni mbumbumbu....."
Unaelewa maana ya neno Baadhi.
2)Manara alisema "...... Pale Yanga wenye akili ni wawili......."