Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisemaje? Neno Baadhi halikuwepo?Rage tulimsikia wote,tatizo mashabiki wa simba mbumbumbu
Una haraka sanaKinara wa assist ni Yao Yao jeshi, mwaka huu wanatwangwa kote kote
'tatizo,mashabiki wa Simba mbumbumbu 'Alisemaje? Neno Baadhi halikuwepo?
Labda hukuipata hiyo clip au hujaisikia vizuri au uneisikia lakini KWA makusudi unapotosha. Alisema baadhi. Kama hukulisikia neno Baadhi itafute ile clip tena.'tatizo,mashabiki wa Simba mbumbumbu '
Maumivu ya kichwa huanza poole pole! Utayasikia maumivu makaali kupita kiasi. Maumivu yakizidi, pata ushauri wa daktari.Mtoe Baleke mweke Skudu hapo...
Ili mkeka wako ubalance...
Niumie kwa lipi? Huyo mtoa mada ndo ana maumivu...kama ww ni gt utanielewa kwanini nimesema hivyo...Maumivu ya kichwa huanza poole pole! Utayasikia maumivu makaali kupita kiasi. Maumivu yakizidi, pata ushauri wa daktari.
Mbona una kazi kubwa ya kujibu watu humu jukwaaani? Wengine hatutaki majibu ndo maana hukuti tuna reply reply watu...sasa ww kila anaesema kitu hakikupendezi ushamreply huchoki babu?Mtoe wewe
Kama hutaki kujibiwa usipost chochoteMbona una kazi kubwa ya kujibu watu humu jukwaaani? Wengine hatutaki majibu ndo maana hukuti tuna reply reply watu...sasa ww kila anaesema kitu hakikupendezi ushamreply huchoki babu?
Anakwambia hataki kujibiwa etiMaumivu ya kichwa huanza poole pole! Utayasikia maumivu makaali kupita kiasi. Maumivu yakizidi, pata ushauri wa daktari.
Basi karibu kwenye ligi...Kama hutaki kujibiwa usipost chochote
Moyo tu unakuuma mtani..!!Mtoe Baleke mweke Skudu hapo...
Ili mkeka wako ubalance...
Moyo tu unakuuma mtani..!!
Alisema mashabiki wa simba ni mbumbumbu akiwemo yeye mwenyewe. Hakumuacha mtu hata mmoja,1)Rage mkutanoni alisema " ...... Baadhi yenu humu ni mbumbumbu....."
Unaelewa maana ya neno Baadhi.
2)Manara alisema "...... Pale Yanga wenye akili ni wawili......."