Vinara wa kupachika mabao ligi kuu ya NBC hadi leo tarehe 27.10.23

Huko kwenu ni mmoja tuu ndio mwenye akili si mwingine ni Mh Rage tuu mliobaki wote mbumbumbu.
1)Rage mkutanoni alisema " ...... Baadhi yenu humu ni mbumbumbu....."

Unaelewa maana ya neno Baadhi.

2)Manara alisema "...... Pale Yanga wenye akili ni wawili......."
 
1)Rage mkutanoni alisema " ...... Baadhi yenu humu ni mbumbumbu....."

Unaelewa maana ya neno Baadhi.

2)Manara alisema "...... Pale Yanga wenye akili ni wawili......."
Manara ndio nani Yanga? Maneno ya kiongozi wa timu yana nguvu kuliko hayo ya Manara tena aliyasema akiwa huko ukoloni kwenu.
 
1)Rage mkutanoni alisema " ...... Baadhi yenu humu ni mbumbumbu....."

Unaelewa maana ya neno Baadhi.

2)Manara alisema "...... Pale Yanga wenye akili ni wawili......."
Rage tulimsikia wote,tatizo mashabiki wa simba mbumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…