Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Makongolo huyo huyo alikuwa akimpigia kampeni Vincent Musoma Mjini.
Tulieni tuwasulubu.
Ndiyo kwanza tunaanza. Na haturudi nyuma.
Re: Vincent Nyerere... Leticia Nyerere... Fumbo kwa CHADEMA
Napinga hoja kwa sabau siamini kama kuna kitu kama damu lulu. Kama hawa wamechaguliwa kutokana na jina lao na si uwezo wao basi nchi hii imekwisha. Ni huku kusujudia watu kwa sababu ya uzawa wao unachangia kwa kiasi kikubwa kutufikisha hapa ambapo wakina na January nao wanaona wana damu ya lulu! Mama Maria alikuwa mke wa Mwalimu na si zaidi ya hapo. Kumgeuza leo oracle ni kutotutendea haki watanzania. Tuwape heshima wanayostahili kama binadamu lakini tusivuke mpaka na kuanza kuwasujudia. Mbaya zaidi hao unaowadai wana damu ya Mwalimu mbona waliojiita wasemaji wa ukoo waliwatolea nje? Walisema (I stand to be corrected) kuwa Vincent si ndugu wa karibu ( ingawa ni mtoto wa mdogo wake Mwalimu) na Leticia ni mtaliki wa mtoto wa Nyerere kwa hiyo si damu yao ( Makongoro amfungia safari Leticia Nyerere! ) Sasa hayo ya baraka yalikuwa wapi? Tumshukuru Mungu kwa Mwalimu lakini si kwa familia yake. Hapa si Korea ya Kaskazini.
Amandla......
Ulimwengu unakwenda kwa DNA sio Korea wala mawazo finyu ya Fundi Mchundo (technician)
Kwa hiyo ni manfik? Anauma huku anapuliza! Halafu unataka tumuenzi? Angeshinda Slaa bila shaka wengi wangetoka na kudai kuwa walikuwa wakimpigia debe chini chini. Wanafik watupu. Kama ni kweli unachosema kuhusu Makongoro basi ni uthibitisho kuwa hastahili kuenziwa. Baba yake wala asingejificha, angesema wazi wazi kuwa nani anaona anafaa.
Amandla.....
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.
Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.
Watoto wake warithi nini?
Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.
Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.
Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.
Chadema.
Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.
Jiulizeni.
Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.
Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.
Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.
Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.
Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.
Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.
Chadema mumepewa Fumbo.
Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.
Kwa hiyo ni manfik? Anauma huku anapuliza! Halafu unataka tumuenzi? Angeshinda Slaa bila shaka wengi wangetoka na kudai kuwa walikuwa wakimpigia debe chini chini. Wanafik watupu. Kama ni kweli unachosema kuhusu Makongoro basi ni uthibitisho kuwa hastahili kuenziwa. Baba yake wala asingejificha, angesema wazi wazi kuwa nani anaona anafaa.
Amandla.....
Kuna tofauti kati ya kumuenzi Nyerere na kuenzi ukoo wake. Watoto na ndugu wa Nyerere tunawajua na ni watu wa kawaida tu. Kutaka leo tugeuze Butiama kuwa sehemu ya pilgrimage kwenda kuomba baraka za mjane wa Nyerere ni kutudhihaki watanzania wengine. Dr. Slaa amemsifia na kumuenzi Julius Kambarage Nyerere na sio Maria au mmoja wa watoto wake. Atawaheshimu lakini kuwaenzi, hapana. Mtu unaenziwa kwa kitu ulichofanya na si kwa sababu tu ulizaliwa na fulani. Vincent na Leticia wanastahili sifa kama wana harakati kwa nafsi yao na si ati kwa sabau wana uhusiano na ukoo wa mwalimu. Ulimbukeni huu ndio unaotufanya tuwape vyeo vya ajabu watoto wa chekechea kwa sababu tu wanatoka katika ukoo fulani. Ukwelli ni kwamba kama Chadema wanataka kukubalika kwa sababu ati Nyerere aliwasifia basi hawana hoja. Chadema wanakubalika na watu kutokana na msimamo wao na si kwa sababu ya hizo baraka. Mnaotaka kuwageuza watoto wa kambo wa nyerere hamuwatendei haki wale wote waliotoka jasho kuifikisha Chadema hapa ilipo.
Amandla.........
Hayaga ongwise bagugwa...litabanya balasi...lisangija....
Acheni kuzungumza kilugha hapa kwenye hii JF si kila mtu anafaham maana ya nyanoko..au nimekosea mkoi?
Nahisi kutokwa machozi mara baada ya kumaliza kusoma huo ujumbe mpwa.Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.
Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.
Watoto wake warithi nini?
Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.
Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.
Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.
Chadema.
Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.
Jiulizeni.
Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.
Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.
Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.
Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.
Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.
Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.
Chadema mumepewa Fumbo.
Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.
kama ni thaman ya baba tu kwa chama ..................tusishangae tukisikia January makamba kapewa uwaziri
Chadema. Kama kuna fumbo Mungu ameweka juu yenu ni juu ya familia ya Nyerere. Haya ni maoni yangu binafsi. Yanaweza kupuuzwa ama kuungwa mkono. Sitajali. Ila nitasimama katika maono yangu.
Ndoto ya Baba wa Taifa ilikuwa ni kuona Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu(dhana ambazo zinahubiriwa kinafiki na CCM ya leo). Nyerere hatunaye. Ametangulia kwenye haki.
Watoto wake warithi nini?
Nyerere hakuwa mwizi. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa wezi.
Nyerere hakuwa mtu wa viduku. Kwa hiyo watoto wake hawawezi kuwa watu wa kuandikwa kwenye magazeti ya udaku na kupigwa picha za kuweka kwenye blog za michuzi anayepigwa picha akibeba kinyago cha uume.
Nyerere alikuwa mtu wa watu. Watoto wake wanajaribu kukimbilia kwenye kundi (japo dogo) la watu wanaohubiri mageuzi na usawa katika jamii. Alianza Makongoro na NCCR. Mrema akamuangusha. Mrema akawa mnafiki asiye na msimamo anayefarakana na kila chama anachokuwa yupo. Lyatonga kafulia. Huyo tumuache.
Chadema.
Mungu amegeuza macho kwenu. Amewapa Vincent.
Jiulizeni.
Mwaka 2005, Chadema haikuwa na diwani jimbo la Musoma mjini. Leo ina madiwani 8 (usisahau uchakachuaji wa CCM). Damu ya Nyerere. Halmashauri ya Mji wa Musoma iko chini ya Chadema. Chini ya Nyerere.
Chadema musione kitu hiki kuwa kidogo. Na wala musione kuwa cha kawaida. Ni baraka za Mungu Chadema kuhusishwa na familia ya Nyerere, na popote pale walipo, CCM inawauma sana.
Mtembeleeni Maria (Mrs. Nyerere). Hebu muulizeni mzee alikuwa akisema nini kuhusu Tanzania ya leo walipokuwa wamelala kitandani. Atawaambia mengi yatakayosaidia kuturudisha Watanzania kwenye njia sahihi.
Nina amini kama Maria angeona tatizo, asingekubali Vincent na Leticia kugombea uongozi kupitia Chadema.
Kuna kitu Maria anacho. Mfuateni.
Namaliza kwa kusema: Ahsante Mungu kwa familia ya muasisi wa Taifa hili.
Chadema mumepewa Fumbo.
Epukeni ushetani uliokisambaratisha NCCR cha Mrema na kumuacha Makongoro akionekana mtu wa kawaida katika jamii, wakati damu yake ni lulu....damu ya Julius Kambarage Nyerere.
Napinga hoja kwa sabau siamini kama kuna kitu kama damu lulu. Kama hawa wamechaguliwa kutokana na jina lao na si uwezo wao basi nchi hii imekwisha. Ni huku kusujudia watu kwa sababu ya uzawa wao unachangia kwa kiasi kikubwa kutufikisha hapa ambapo wakina na January nao wanaona wana damu ya lulu! Mama Maria alikuwa mke wa Mwalimu na si zaidi ya hapo. Kumgeuza leo oracle ni kutotutendea haki watanzania. Tuwape heshima wanayostahili kama binadamu lakini tusivuke mpaka na kuanza kuwasujudia. Mbaya zaidi hao unaowadai wana damu ya Mwalimu mbona waliojiita wasemaji wa ukoo waliwatolea nje? Walisema (I stand to be corrected) kuwa Vincent si ndugu wa karibu ( ingawa ni mtoto wa mdogo wake Mwalimu) na Leticia ni mtaliki wa mtoto wa Nyerere kwa hiyo si damu yao ( Makongoro amfungia safari Leticia Nyerere! ) Sasa hayo ya baraka yalikuwa wapi? Tumshukuru Mungu kwa Mwalimu lakini si kwa familia yake. Hapa si Korea ya Kaskazini.
Amandla......