and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Nimeona ina gt naona pia ilikuwa si mchezoDesign kama hii ya 73 inafungwa jiko la 2JZ-GTE Huko barabarani watapasuka Sana mbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona ina gt naona pia ilikuwa si mchezoDesign kama hii ya 73 inafungwa jiko la 2JZ-GTE Huko barabarani watapasuka Sana mbavu
grand tourerNimeona ina gt naona pia ilikuwa si mchezo
Pale ambapo past inakuwa noma kuliko futureWalibugi sana muendelezo ...
Kabisa mkuuPale ambapo past inakuwa noma kuliko future
We huoni hiyo ya 73 ni ya moto kuliko hako katoroli?Ni mabaya au unamanisha nini?
GT za miaka ile ukikuta ina 180HP ilikuwa ni balaa. Ila kwa sasa hio power ni ya 2ZZ-GE ambayo ni ya kawaida. Gari nyingi ziko above 200HPNimeona ina gt naona pia ilikuwa si mchezo
Hio nimeangalia ilikuwa na 79 hp sijajua kwa gt version...GT za miaka ile ukikuta ina 180HP ilikuwa ni balaa. Ila kwa sasa hio power ni ya 2ZZ-GE ambayo ni ya kawaida. Gari nyingi ziko above 200HP
GT huenda ikawa kwenye 140HP au 150HPHio nimeangalia ilikuwa na 79 hp sijajua kwa gt version...
Yeah, i think so..GT huenda ikawa kwenye 140HP au 150HP
Marahaba mara ya pili hujambo mwanafunzi?Wewe dogo unapenda shikamoo, ingefaa uwe mwalimu wa Shule ya Msingi.
Ati....?Marahaba mara ya pili hujambo mwanafunzi?