Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
Habari jamiiforums.
Katika pita pita zangu na kati ya mitaa ninayoishi, Nimekutana na hoja ambayo katika hali ya kawaida, sikuweza kusubiri na kupata undani wake,
Wakaaji wa eneo hilo niliwasikia wakisema(vinywaji aina ya Bavaria na Redis mara nyingi huwa ni vinywaji vya majambazi ikiwemo wezi.
Je kuna ukweli wowote katika hili jambo?? Mzizi mkavu
Nb: Sababu Vinywaji hivi vinatumiwa na hao jamaa sabab havina kilevi
Katika pita pita zangu na kati ya mitaa ninayoishi, Nimekutana na hoja ambayo katika hali ya kawaida, sikuweza kusubiri na kupata undani wake,
Wakaaji wa eneo hilo niliwasikia wakisema(vinywaji aina ya Bavaria na Redis mara nyingi huwa ni vinywaji vya majambazi ikiwemo wezi.
Je kuna ukweli wowote katika hili jambo?? Mzizi mkavu
Nb: Sababu Vinywaji hivi vinatumiwa na hao jamaa sabab havina kilevi
Last edited by a moderator: