Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,663
ha haa haaa, inamaana MziziMkavu ni jambazi au mwizi kwa namna hiyo...
Habari jamiiforums.
Katika pita pita zangu na kati ya mitaa ninayoishi, Nimekutana na hoja ambayo katika hali ya kawaida, sikuweza kusubiri na kupata undani wake,
Wakaaji wa eneo hilo niliwasikia wakisema(vinywaji aina ya Bavaria na Redis mara nyingi huwa ni vinywaji vya majambazi ikiwemo wezi.
Je kuna ukweli wowote katika hili jambo??
...u mean wezi wa me/ke wa watu wengine?
Kuna vitu viwili Ulevi na ujambazi ni vitu 2 tofauti jambazi anaweza kuwa niHabari jamiiforums.
Katika pita pita zangu na kati ya mitaa ninayoishi, Nimekutana na hoja ambayo katika hali ya kawaida, sikuweza kusubiri na kupata undani wake,
Wakaaji wa eneo hilo niliwasikia wakisema(vinywaji aina ya Bavaria na Redis mara nyingi huwa ni vinywaji vya majambazi ikiwemo wezi.
Je kuna ukweli wowote katika hili jambo?? Mzizi mkavu
Habari jamiiforums.
Katika pita pita zangu na kati ya mitaa ninayoishi, Nimekutana na hoja ambayo katika hali ya kawaida, sikuweza kusubiri na kupata undani wake,
Wakaaji wa eneo hilo niliwasikia wakisema(vinywaji aina ya Bavaria na Redis mara nyingi huwa ni vinywaji vya majambazi ikiwemo wezi.
Je kuna ukweli wowote katika hili jambo?? Mzizi mkavu
Sasa MziziMkavu anahusikaje na huo uzi wako?
Habari jamiiforums.
Katika pita pita zangu na kati ya mitaa ninayoishi, Nimekutana na hoja ambayo katika hali ya kawaida, sikuweza kusubiri na kupata undani wake,
Wakaaji wa eneo hilo niliwasikia wakisema(vinywaji aina ya Bavaria na Redis mara nyingi huwa ni vinywaji vya majambazi ikiwemo wezi.
Je kuna ukweli wowote katika hili jambo?? Mzizi mkavu
Nb: Sababu Vinywaji hivi vinatumiwa na hao jamaa sabab havina kilevi
redis ndio kinywaji gani? Kama ulimaanisha redds basi hiyo redds kwa taarifa ina kilevi. Kama redbull sawa hiyo haina kilevi.
Mi najua ni vinywaji vya MASHOGA WALIOKUBUHU
Uhusiano tafadhali!!!!?????
Wezi/majambazi ----->vinywaji----->Mzizimkavu