VIOJA Bungeni No.1

Nadhani hii nchi inahitaji mtawala dictator kama Joseph Stalin ili awachinje mataahira wote. Wananchi wengine wanaobaki wanolewe kwa uzalendo na maadili. Tofauti na hapo ni upunguani mtupu!

Joseph Stalin hayupo duniani. Na wewe n tahaira unayetakiwa kuchinjwa?
Tahaira n mtu wa aina gani?
Stalin alikuwa Juha kuwachinja matahaira.
 
inasikitisha sana au ndo staili ya kuongeza siku maana wanatumia muda mwingi kuchambana
 
mkuu hii nani aliitapika!

Hii ilitoka mdomoni mwa mwanaume mmoja ambaye alijitambulisha kwamba ni sheikh. Ni maoni ambayo hayakuhitajika kabisa maana alistahili kujiuliza miaka yote ya uhuru, akina mama huapishwa namna gani. Ajabu kabisa alishangiliwa sana! Na nadhani kwa kutozoea kushangiliwa akaongeza manjonjo!
 
Mkuu Mchunguzi hiyo ya mwisho ni siriaz au unatania?ni kijana gani huyo?

Siriasi!! Tena hii ilitoka kwa kijana mmoja nadhani akiwakilisha makundi maalumu. Mkongwe mmoja akajibu kwamba hata yeye kijana angeweza kutangulia na kuwaacha wazee wakiwa hai!
 
ama! kwa kweli hawa magamba wamechoka kufikiri, au ndio wanafikiri kwa kutumia ma**lio?
 
hahaha loh nimecheka hadi nimepaliwa
 
Duh! Hivi ni viroja vya maccm
 
Umesahau hii...'mwenyekiti ahirisha tuondoka'. Wako mle kula mshiko na sio vinginevyo.
 
Jana nilikuwa nasikiliza bunge maalum la katiba kwa mara ya kwanza ilikuwa jioni TBC inaonyesha mie moyo unanienda mbio naangalia uku naona aibu, matusi yataporomoshwa sasa hivi mara naangalia kidogo mara narudisha mambo yalivyokuwa kwani vipaza sauti vya wajumbe wote viko on kila mbunge anaongea story yake wengine habari za mnadani ilivyokuwa, wengine anasifia watoto wake uku vinaingiliana kwenye speak hadi huku kwenye tv tunasikia ilikuwa kama kilabuni walevi wakilewa hawana discipline kubwa zaidi ya yote kuna mbaba mmoja alikuwa anachangia mara mama moja bila ya aibu akanyanyua kipaza uko aliko akawa anasema tumekuchoka !!!! mara kwa mara sauti inajirudia yaani vituko mara ii mmeshachokana !!!! 2 weeks.Yaan wako kama wehu, sura zao zimekosa aibu, unaweza ukawa hauna uzalendo mungu akakupa aibu, vyote hawana, kwani kule bungeni kunamitambo sijui ya kuwakata watu fluzi, mbona wengi wamevurugwa nashindwa kupata jibu.Ninyamaze nisije kupata ban
 
MchunguZI ...asante sana kwa kutuonyesha ni wajumbe wa aina gani tulionao katika hili bunge maalumu la katiba. Ingekuwa vizuri zaidi kama ungetuwekea na majina ya hao waheshimiwa katika hizo nukuu!
 
Last edited by a moderator:
Mtikila aliyasema mapemaaa..
"hili bunge ni la kihunihuni bcoz limechaguliwa kihuni" sasa ukweli umedhihirika. Aibu ye2 waTZ.
 
Kinachosikitisha ni hawa wabunge wazoefu ambao wameonekana kuongoza kwa kutoa matusi kuliko hawa wengine walioingia kwa makundi yao.

Naona kama hawa jamaa wanajifanya ni wenyeji ktk jengo hilo na wanajua kuwasha na kuzima mic., kwao hilo laonekana ni elimu kubwa! Lugha mbaya, hakuna umakini ktk uchaguzi wa manneo ya kutumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…