TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mkuu hapa bado bunge rasmi halijaanza kwani sasa wajitungia kanuni hivo ni semina tu wanayofanya.Yaani bunge hili la katiba ...hakuna hata 'Order' hakuna utulivu...! Inakera
Jana nilikuwa nasikiliza bunge maalum la katiba kwa mara ya kwanza ilikuwa jioni TBC inaonyesha mie moyo unanienda mbio naangalia uku naona aibu, matusi yataporomoshwa sasa hivi mara naangalia kidogo mara narudisha mambo yalivyokuwa kwani vipaza sauti vya wajumbe wote viko on kila mbunge anaongea story yake wengine habari za mnadani ilivyokuwa, wengine anasifia watoto wake uku vinaingiliana kwenye speak hadi huku kwenye tv tunasikia ilikuwa kama kilabuni walevi wakilewa hawana discipline kubwa zaidi ya yote kuna mbaba mmoja alikuwa anachangia mara mama moja bila ya aibu akanyanyua kipaza uko aliko akawa anasema tumekuchoka !!!! mara kwa mara sauti inajirudia yaani vituko mara ii mmeshachokana !!!! 2 weeks.Yaan wako kama wehu, sura zao zimekosa aibu, unaweza ukawa hauna uzalendo mungu akakupa aibu, vyote hawana, kwani kule bungeni kunamitambo sijui ya kuwakata watu fluzi, mbona wengi wamevurugwa nashindwa kupata jibu.Ninyamaze nisije kupata ban
Kumbe ....lakini walitakiwa waonyeshe nidhamu basi hata kwenye semina hii...Mkuu hapa bado bunge rasmi halijaanza kwani sasa wajitungia kanuni hivo ni semina tu wanayofanya.
Kinachosikitisha ni hawa wabunge wazoefu ambao wameonekana kuongoza kwa kutoa matusi kuliko hawa wengine walioingia kwa makundi yao.
Naona kama hawa jamaa wanajifanya ni wenyeji ktk jengo hilo na wanajua kuwasha na kuzima mic., kwao hilo laonekana ni elimu kubwa! Lugha mbaya, hakuna umakini ktk uchaguzi wa manneo ya kutumia.
Mkuu kwa waislamu linapokuja suali la kushika kitabu kitakatifu ,ni kweli mwanamke kama hayuko tohara haruhusiki na mwanamume pia ,sasa inawezekana siku ya kuapishana watu hao wakawa hawako tohara kwa hiyo lazima itafutwe namna ya kuwaapisha,kinyume chake wengi wao wataapishwa siku tofauti tofauti! hakuna mpayukaji hapo bali tatizo liko kwenye ufahamu wako juu ya imani za watu wengine!ni mdada mmoja ivi toka nchi jirani,anavopayuka utadhani anaongea vya maana
"...Mheshimiwa mwenyekiti, wanawake wa kiislam wakiwa kwenye zile siku zao mbaya dini inawakataza kushika msahafu, hivyo tunaomba basi iwekwe namna ya kuwaapisha bila kushika msahafu!!... na wanaume wa kiislamu lazima wawe na udhu …"
Mkuu kwa waislamu linapokuja suali la kushika kitabu kitakatifu ,ni kweli mwanamke kama hayuko tohara haruhusiki na mwanamume pia ,sasa inawezekana siku ya kuapishana watu hao wakawa hawako tohara kwa hiyo lazima itafutwe namna ya kuwaapisha,kinyume chake wengi wao wataapishwa siku tofauti tofauti! hakuna mpayukaji hapo bali tatizo liko kwenye ufahamu wako juu ya imani za watu wengine!
Kuwa tohara ni nini kwa mwanamke na mwanamme?"...Mheshimiwa mwenyekiti, wanawake wa kiislam wakiwa kwenye zile siku zao mbaya dini inawakataza kushika msahafu, hivyo tunaomba basi iwekwe namna ya kuwaapisha bila kushika msahafu!!... na wanaume wa kiislamu lazima wawe na udhu …"
Mkuu kwa waislamu linapokuja suali la kushika kitabu kitakatifu ,ni kweli mwanamke kama hayuko tohara haruhusiki na mwanamume pia ,sasa inawezekana siku ya kuapishana watu hao wakawa hawako tohara kwa hiyo lazima itafutwe namna ya kuwaapisha,kinyume chake wengi wao wataapishwa siku tofauti tofauti! hakuna mpayukaji hapo bali tatizo liko kwenye ufahamu wako juu ya imani za watu wengine!
ni kweli kabisa mkuu, maccm wamekuwa mazombie na machadema wamekua misukule kwani akili zao wameshikiwa na viongozi wao.Mkuu usitegemed jambo la maana toka kwa maccm, akili zao wamezikabidhi kwa viongozi wao hayo unayoyaona hapo ni mazombi tu.
mkuu hii nani aliitapika!
Ndugu yangu mimi hata sikujaliwa kulkisikiliza hilo bunge hiyo siku ,bali nimefafanua kwa mujibu wa nukuu iliyobandikwa hapa jamvini,pia suali lililojadiliwa ni la viapo na viapo vinaambatana na imani ya mtu ,kwa hiyo hapo hatuingizi udini pia pale kuna makundi ya watu wa imani tofauti mjumbe alijenga hoja kwa madhumuni kuwa kwa waislamu linaweza likatukia hivi je tunayo njia mbadala ya kumwapisha mtu huyu?sasa lazima aeleze kwa uwazi kwa kadri awezavyo juu ya jambo hilo ili watu wa imani nyengine waweze kumwelewa!Hallow 124Ali hebu tusiingie kwenye Dini, tubaki ktk mtindo wa kutoa hoja. Hayo unayoandika ni sahihi kabisa na ndivyo muislam anayefuata anatakiwa kufanya siku ya kiapo. Tatizo langu ni kusema hayo ndani ya mjadala wa Bunge. Hapo busara huwa inatumika, Lazima mtu achague maneno kwa staha ili bunge lisigeuke erotic film.
Kila muislamu alifundishwa hayo na yanarudiwa kwenye nyumba za ibada. Kumbuka sisi ni waafrika kuzungumuzia mambo ya maumbile kwa njia hii lazima tuseme huyu hakuwa na hoja kwa wasikilizaji.
Waislamu wamekuwa wakiapa siku zote Bungeni na mahakamani kwa ufahamu wao. Mbona sijawahi kusikia kwamba shahidi kagoma kuapa mahakamanai kwa sababu kama hiyo. Wengine huwa tunatia mashaka lakini yote tunamwachia anayeapa. Hiyo juu yake!!
No. He is not. The old man has shown a resilience tolerance...! Remember it is not easy to supervise the gathering of such kind (with people whom the word respect is a problem in practical manner)Kificho ameonesha udhaifu mkubwa