greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,653
- 3,060
Habari za mwisho wa weekend wanajamii.
Naamini kila kila mtu ana aina yake ya starehe,lakini hapa nimejikita zaidi kwenye starehe yenye kuhusisha Pombe.
Je,kwa Mara ya kwanza ulivyotumia ilikuwaje/ ulifanya kioja gani?
Kwangu
1. Mwaka Mpya Arusha 2018,
Mimi na jamaa yangu tukaenda kupata mlo nyumba kwa mshkaji wetu,tulikutana watu kama 15 hivi.
Nyama Choma kama zote, kwenye vinywaji ni,Kvant, Jägermeister, Jack Daniel's na Whisky ya kirusi (sikumbuki jina).
Nkasema ngoja nijaribu, nlipiga Jägermeister+apple punch glass 4 yakanizidia. Nikaanza mlilia mjamaa tuondoke, nilimsumbua mpaka akakubali. Ndiyo kwanza saa 11 jioni
Sasa ile kuinuka tu na kuanza kutembea, nilipiga hatua za nne za faster kwenda kushoto na kulia kama nakamata panzi, mara pu chini.
Mjamaa akanisaidia mpaka kwenye gari, akafungua mlango wa nyuma Mimi nikajitupa kwa kulala, mjamaa akafunga mlango na kurudi kula gambe.
Baadaye nikaskia mlango kama kufunguliwa baadaye kumuuliza kama tumefika, akasema alikuwa anajaza mafuta, nikalala tena. Saa 6 usiku.
Kufika home: Nikajitupa tu, kuamka asubuhi, Nimelala sakafuni sebreni.
Naamini kila kila mtu ana aina yake ya starehe,lakini hapa nimejikita zaidi kwenye starehe yenye kuhusisha Pombe.
Je,kwa Mara ya kwanza ulivyotumia ilikuwaje/ ulifanya kioja gani?
Kwangu
1. Mwaka Mpya Arusha 2018,
Mimi na jamaa yangu tukaenda kupata mlo nyumba kwa mshkaji wetu,tulikutana watu kama 15 hivi.
Nyama Choma kama zote, kwenye vinywaji ni,Kvant, Jägermeister, Jack Daniel's na Whisky ya kirusi (sikumbuki jina).
Nkasema ngoja nijaribu, nlipiga Jägermeister+apple punch glass 4 yakanizidia. Nikaanza mlilia mjamaa tuondoke, nilimsumbua mpaka akakubali. Ndiyo kwanza saa 11 jioni
Sasa ile kuinuka tu na kuanza kutembea, nilipiga hatua za nne za faster kwenda kushoto na kulia kama nakamata panzi, mara pu chini.
Mjamaa akanisaidia mpaka kwenye gari, akafungua mlango wa nyuma Mimi nikajitupa kwa kulala, mjamaa akafunga mlango na kurudi kula gambe.
Baadaye nikaskia mlango kama kufunguliwa baadaye kumuuliza kama tumefika, akasema alikuwa anajaza mafuta, nikalala tena. Saa 6 usiku.
Kufika home: Nikajitupa tu, kuamka asubuhi, Nimelala sakafuni sebreni.