Saa 4 zilizopita:
Klabu ya uturuki Kasimpasa fc ilitangaza meneja wao mpya İbrahim Üzülmez ambaye aliwasili katika mkutano wa waandishi wa habari kusaini mkataba mpya.
Saa moja iliyopita: Kasimpasa fc wametangaza kuwa wamfukuza kazi kocha wao mpya Ibrahim Üzülmez baada ya mkutano wa waandishi wa habari.
[emoji2398]Soka_App