Vioja na viloja kwenye soka

marcoveratti

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
1,019
Reaction score
1,824
Saa 4 zilizopita:
Klabu ya uturuki Kasimpasa fc ilitangaza meneja wao mpya İbrahim Üzülmez ambaye aliwasili katika mkutano wa waandishi wa habari kusaini mkataba mpya.

Saa moja iliyopita: Kasimpasa fc wametangaza kuwa wamfukuza kazi kocha wao mpya Ibrahim Üzülmez baada ya mkutano wa waandishi wa habari.
[emoji2398]Soka_App
 
Labda kuna sababu za msingi za kumfukuza.

Kuna vigezo walivyotegemea kumkuta navyo hawajamkuta navyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…