kwani gharama zikiwa kubwa ni ujanja?
unaweza oa mke wa mamiliono kumbe kicheche full
na mwingine akaoa kwa elfu kumi tu
na akapata mke wa kweli..
ila mkuu ujue jamaa lazima atapata waume wenza!wanawake wa kizaramo kugongwa nje ni jadi pia ruhusa za kutoka kila siku
Ha! Mtwara na Lindi mpaka 50,000 unaweza kupata jiko.
Mwaka 2000, jamaa yangu alitozwa mahari ya Tsh 7000/= akajipatia jiko la binti wa Kizaramo...................