Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Lakini ni ukweli kwa tuliopitia haya au tunayapitia
Mhusika hapo juu alikuwa na kesi ya matunzo ya mtoto Mahakama ya Usuluhishi TemekeLakini ni ukweli kwa tuliopitia haya au tunayapitia
๐คฃ๐คฃSo yupo kujioshaMhusika hapo juu alikuwa na kesi ya matunzo ya mtoto Mahakama ya Usuluhishi Temeke
๐คฃ๐คฃTayari
Wakina mama Oyeeeee
Hapana, hiyo kesi ndio inadhihirisha kuwa kweli kipato cha mwanamke ndio kilikuwa kinahudumia familia.๐คฃ๐คฃSo yupo kujiosha
Umeniwahi kuulizaHuyo jamaa anazungumzia taifa gani?
๐คฃ๐คฃ๐คฃ HakikaHapana, hiyo kesi ndio inadhihirisha kuwa kweli kipato cha mwanamke ndio kilikuwa kinahudumia familia.
Hilo toto limekamilika kasoro mavazi tu๐ค
Wewe maoni yako nini?
kinyume chakeWewe maoni yako nini?
Huyu jamaa halafu hizi mada zake humu jukwaani ni kwa ajili ya nini? Nani huwa anazianzisha? Maana naona maneno maneno tu na miushuzi ila hakuna kitu humo. Jamaa ni litapeli balaa. Kuchwa kafulila hivi kafulila vile na vijimada vyao vya kijinga jinga!