Ndio maana ndoa yake Kafulila na Kishoa ilivunjika sababu ya kumtelekezea majukumu.atumie asilimia 90 yake mke
Mke akaona isiwe tabu ndoa ivunjike
Kafulila ni mfano halisi wa waume wasiowajibika kimatumizi nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana ndoa yake Kafulila na Kishoa ilivunjika sababu ya kumtelekezea majukumu.atumie asilimia 90 yake mke
Sababu hiyo kutelekezea mke majukumu ya kugharimia familia nyumbani huku yeye akipuyanga huko na hukoNdoa ya kwanza imevunjika
Huu kweli uongo uliopitiliza
Mwanaume usipompa hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.🤣🤣So yupo kujiosha
Eeh bhana,inatakiwa muwajibike kwa nafasi yenu at leastMwanaume usipompa hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
Sahihi hata mwanamke awe bilionea mwqnaume usisahau kumpa hata hela ndogo ya saluni tu atafurahi hata kama ukimpa kidogoMwanaume usipompa hela mwanamke anakuona tàkataka tuu.
Yuko sahihii kumbe hata yy halei mtoto kamuachia mwanamkeMhusika hapo juu alikuwa na kesi ya matunzo ya mtoto Mahakama ya Usuluhishi Temeke
Kamishina PPP anashindwa kutoa matunzo kwa mtoto hadi mahakama itoe amri kuwa tunza aiseeeMhusika hapo juu alikuwa na kesi ya matunzo ya mtoto Mahakama ya Usuluhishi Temeke
Sasa mwambie huyo Kafulila akumbuke kipindi anadaiwa hela ya matunzo na mbunge anayelipwa 18m kwa mwezi.Eeh bhana,inatakiwa muwajibike kwa nafasi yenu at least
🤣🤣🤣 Sawa mkuu, zimefikaSasa mwambie huyo Kafulila akumbuke kipindi anadaiwa hela ya matunzo na mbunge anayelipwa 18m kwa mwezi.
Hela ya mke Mwanaume hutakiwi kuilalia mlango waziSasa mwambie huyo Kafulila akumbuke kipindi anadaiwa hela ya matunzo na mbunge anayelipwa 18m kwa mwezi.