mkulungwa02
Senior Member
- May 24, 2020
- 193
- 154
Kuna mwana jamvi yeyote amewahi kwenda ukweni akakutana na kioja chochote?
Atiririke hapa chini ili sisi tunaotarajia kwenda hivi karbuni tujifunze vipi vya kufanya na vp sio vya kufanya .........
Atiririke hapa chini ili sisi tunaotarajia kwenda hivi karbuni tujifunze vipi vya kufanya na vp sio vya kufanya .........