Violeti mzendakaya akimbia mjadala kisa kiingereza

Violeti mzendakaya akimbia mjadala kisa kiingereza

- Unfair: huwezi kuwa Makerere University ukawa hujui English wale sio kama sisi wababaishaji!

Willie @ NYC, USA.


Mkuu nimesikitishwa na comment yako, sikutegemea itoke kwa mtu kama wewe.
Nadhani tunajidharau sana kuliko ukweli, yahani unaona Uganda wametuzidi kiasi hicho? Kwa taarifa yako sivo, nimesoma na Waganda hapa TZ walikuwa wanaona fahari kusoma hapa kuliko vyuo vyao. (Am not talking abt language). Pamoja na mapungufu huwezi rule out kuwa wote wababaishaji!
Anyway ni kawadia watu hudhani kwa jirani ni bora kumbe la!
 
Bro sio wote wanaosoma Uganda wapo MAKERERE, huyu binti anasoma KIU ( Kampala International University)
KIU.. matapeli wakubwa wale,niliingia kichwakichwa nikapoteza madolari yangu nilipogundua ni fake nikasepa mapemaaaaa!! hamna kitu pale.
 
malecela unamtetea sana MZINDAKAYA......wote nyie ni watoto wa wazeee waleee walioitafuna na wanaoendelea kuitafuna tanzania hiii

ulidhani atamtetea regia?? over his dead corpse
 
now this is the point, hi thread haina mashiko, ila wewe ulivyoleta ya makerere ndio uliyoipeleka pabaya kusifia lugha bila kujua kuna KIU pale uganda

i wish ungekaa nae yule dada ujue utumbo wake

- Well, ninaongea naye mara kwa mara najua kwamba anasoma Makerere, na lets say anasoma shule nyingine pale Kampala kosa lake ni nini hasa mpaka kufunguliwa hii thread? tena JF?

Willie @ NYC, USA.
 
ahaaaaaa... samahani sana, basi nimeona FMES amekujibia halafu mnashabihiana kila kitu, kweli duniani wawili wawili

BTWm i dont need your number or something, if i need it i will ask you but displaying all those irrelevant details reveal lots about flamability of your package and how liquid can turn into vapor especially if it has a low boiling point!!!

- Mkuu nakuhakikishia kwa miungu yangu yote kwamba siogopi anything wewe nichanganye na jina lolote unalotaka, lakini ninakwambia openly kwamba jina langu ni William Malecela, picha yangu ile pale juu, namba yangu ya simu ni + 1-914-473-1033, ninaishi New York City, na soon ninaenda bongo likizo, sasa kama una ubavu wa kunitishia au anything kaa tayari, lakini usifikiri kwamba ukiniiita Field Marshall eti nitaogopa, sina chembe ya uoga mwilini mwangu never!

- Halafu nilitegemea utaweka makosa ya Vai hapa mpaka kumfungulia M-Thread wote huu, lakini sioni makosa vipi?

Willie @ NYC, USA.
 
Mkuu nimesikitishwa na comment yako, sikutegemea itoke kwa mtu kama wewe.
Nadhani tunajidharau sana kuliko ukweli, yahani unaona Uganda wametuzidi kiasi hicho? Kwa taarifa yako sivo, nimesoma na Waganda hapa TZ walikuwa wanaona fahari kusoma hapa kuliko vyuo vyao. (Am not talking abt language). Pamoja na mapungufu huwezi rule out kuwa wote wababaishaji!
Anyway ni kawadia watu hudhani kwa jirani ni bora kumbe la!

- Sijasikia waganda na Wakenya wakija kuhangaika na shule zetu zenye majina ya Academia kuwadanganya watu, lakini tizama watoto wadogo walivyojaa huko kwao, elimu yetu imejaa ubabaishaji sana ndio maana taifa letu limedumaa yao yanaendelea, vipi mkuu mbona mifano ipo wazi kwamba elimu yao sio sawa na yetu!, si uangalie maendeleo ya mataifa yetu tu!

Willie @ NYC, USA.
 
- Mkuu nakuhakikishaio kwa miungu yangu yote kwamba siogopi anything wewe nichanganye na jina lolote unalotaka, lakini ninakwambia openly kwamba jina langu ni William Malecela, picha yangu ile pale juu, namba yangu ya simu ni + 1-914-473-1033, ninaishi New York City, na soon ninaenda bongo likizo, sasa kama una ubavu wa kunitishia au anything kaa tayari, lakini usifikiri kwamba ukiniiita Field Marshall eti nitaogopa, sina chembe ya uoga mwilini mwangu never!

- Halafu nilitegemea utaweka makosa ya Vai hapa mpaka kumfungulia M-Thread wote huu, lakini sioni makosa vipi?

Willie @ NYC, USA.

sikiliza wewe vapor, mimi sitishi mtu wala sihitaji kutisha mtu..., its not what god brought me here or my life purpose

nakwambia acha u-vapor, i dont need to know your number, at least if you were a pretty lady... nyambafff

i dont want to see you and there is nothing i need form you wewe william

i am happy with my life and i am free and one of the fearless hyenas out there

ukiishiwa hoja kaa kimya sio unatoa vinamba vyako vya kipumbavu hapa.... they are not relevant to my life or Tanzanians

nenda likizo usiende, its none of my business

take it from me... i dont need any thing from you except contributions and challenges on this jamii forums

give your number to all yas nat me dude

now cut the crap go for lunch and do yourself good

dang!
 
oohh by the way william, i didnt open vai thread, i just contributed, after you lasix post on english

bye for now
 
- Sijasikia waganda na Wakenya wakija kuhangaika na shule zetu zenye majina ya Academia kuwadanganya watu, lakini tizama watoto wadogo walivyojaa huko kwao, elimu yetu imejaa ubabaishaji sana ndio maana taifa letu limedumaa yao yanaendelea, vipi mkuu mbona mifano ipo wazi kwamba elimu yao sio sawa na yetu!, si uangalie maendeleo ya mataifa yetu tu!Willie @ NYC, USA.
Ubovu wa Elimu yetu na uduni wa maendeleo yetu umechangiwa na uwepo wa viongozi wabinafsi 'wa CCM' ambao hawakuona umuhimu wa kutengeneza mfumo thabiti wa elimu wenye manufaa kwa Watz wote kwani walijua watoto wao watasoma nje ya nchi na kufanya kazi huko. U mo than any1 here knw that better.
 
sikiliza wewe vapor, mimi sitishi mtu wala sihitaji kutisha mtu..., its not what god brought me here or my life purpose

nakwambia acha u-vapor, i dont need to know your number, at least if you were a pretty lady... nyambafff

i dont want to see you and there is nothing i need form you wewe william

i am happy with my life and i am free and one of the fearless hyenas out there

ukiishiwa hoja kaa kimya sio unatoa vinamba vyako vya kipumbavu hapa.... they are not relevant to my life or Tanzanians

nenda likizo usiende, its none of my business

take it from me... i dont need any thing from you except contributions and challenges on this jamii forums

give your number to all yas nat me dude

now cut the crap go for lunch and do yourself good

dang!

- Great sasa tukate iishus za taifa na usidhani ninaogopa kuitwa anything I am not, kwa hiyo karibu sana tisha wengine na ID sio mimi mkuu najua ujumbe umefika, karibu sana!

- Isipokuwa nilidhani utaonyesha kosa la Vai, ameksoea nini mkuu?

Willie @ NYC, USA.
 
Ubovu wa Elimu yetu na uduni wa maendeleo yetu umechangiwa na uwepo wa viongozi wabinafsi 'wa CCM' ambao hawakuona umuhimu wa kutengeneza mfumo thabiti wa elimu wenye manufaa kwa Watz wote kwani walijua watoto wao watasoma nje ya nchi na kufanya kazi huko. U mo than any1 here knw that better.

- Wenye matatizo ni sisi wananchi wa Tanzania sio mfumo, mfumo alioutenegeneza Mwalimu upo sawa sana wala hauna tatizo wenye tatizo ni sisi wananchi wa Tanzania. Otherwise ni ile ile tabia ya kukimbilia kujibu maswali magumu kwa majibu rahisi rahisi!

Willie @ NYC, USA.
 
- Great sasa tukate iishus za taifa na usidhani ninaogopa kuitwa anything I am not, kwa hiyo karibu sana tisha wengine na ID sio mimi mkuu najua ujumbe umefika, karibu sana!

- Isipokuwa nilidhani utaonyesha kosa la Vai, ameksoea nini mkuu?

Willie @ NYC, USA.

thansk but no thanks

i never intimidate folks around here... so you better improve your reading skills

i dont need to amswer makosa ya vai coz we are contributing to th thread and anything will come as the thread flows, not as you wish

goddayar
 
- Well, ninaongea naye mara kwa mara najua kwamba anasoma Makerere, na lets say anasoma shule nyingine pale Kampala kosa lake ni nini hasa mpaka kufunguliwa hii thread? tena JF?

Willie @ NYC, USA.

MAKERERE ,UD na UNIVERSITY OF NAIROBI...ndio kati ya vyuo vya kwanza afrika mashariki...especially makerere ina miaka 100....huyu dogo kakosa hadi credit za kuingia UDOM ....,Mzumbe etc.BORA angeefanya OUT tungemuelewa kuliko kwenda Kampala kununua vyeti....anafanya first degree akiwa na umri wa miaka 34 ....muda wote alikuwa wapi,alichezea wakati..sasa anatafuta qualification za ubunge wa viti vya upendeleo....baada ya kuuza sura ya U-DJ radio uhuru...amekudanganya kuwa yuko MAKERERE au na wewe unamngonga?
Violet Mzindakaya
Violet is unavailable
Has worked at CHAMA CHA MAPINDUZIStudied at kampala international universityhttp://www.facebook.com/pages/kampala-international-university/114348408581911Lives in Kampala, UgandaIn a relationshipFrom Dar Es Salam, Dar Es Salaam, TanzaniaBorn on September 29, 1977
 
- Sijasikia waganda na Wakenya wakija kuhangaika na shule zetu zenye majina ya Academia kuwadanganya watu, lakini tizama watoto wadogo walivyojaa huko kwao, elimu yetu imejaa ubabaishaji sana ndio maana taifa letu limedumaa yao yanaendelea, vipi mkuu mbona mifano ipo wazi kwamba elimu yao sio sawa na yetu!, si uangalie maendeleo ya mataifa yetu tu!

Willie @ NYC, USA.

Mkuu naona unazidi kupigilia.
Ukiacha lugha, sidhani kama wana lolote la kutuzidi, from my own experience.
Tatizo tumeingiza siasa kila kitu, kila mjadala lazima ushabiki wa kisiasa uingie, na hii inaleta athari vichwani, na watu kuamini kirahisi kuwa tuko nyuma kila kitu.
Tofauti na wao mkikutana hawataponda nchi zao, ila sisi wengi wetu wataalam wa kuponda nchi yao kila kitu.
So word of mouth matters, watu wanadhani bora kusomesha huko kuliko TZ.
 
MAKERERE ,UD na UNIVERSITY OF NAIROBI...ndio kati ya vyuo vya kwanza afrika mashariki...especially makerere ina miaka 100....huyu dogo kakosa hadi credit za kuingia UDOM ....,Mzumbe etc.BORA angeefanya OUT tungemuelewa kuliko kwenda Kampala kununua vyeti....anafanya first degree akiwa na umri wa miaka 34 ....muda wote alikuwa wapi,alichezea wakati..sasa anatafuta qualification za ubunge wa viti vya upendeleo....baada ya kuuza sura ya U-DJ radio uhuru...amekudanganya kuwa yuko MAKERERE au na wewe unamngonga?
Violet Mzindakaya
Violet is unavailable
Has worked at CHAMA CHA MAPINDUZIStudied at kampala international universityLives in Kampala, UgandaIn a relationshipFrom Dar Es Salam, Dar Es Salaam, TanzaniaBorn on September 29, 1977

gamba hilooooooooo

linatekeleza sera za mwalimu za elimu ya watu wazima

khe khe khe kheheheheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
MAKERERE ,UD na UNIVERSITY OF NAIROBI...ndio kati ya vyuo vya kwanza afrika mashariki...especially makerere ina miaka 100....huyu dogo kakosa hadi credit za kuingia UDOM ....,Mzumbe etc.BORA angeefanya OUT tungemuelewa kuliko kwenda Kampala kununua vyeti....anafanya first degree akiwa na umri wa miaka 34 ....muda wote alikuwa wapi,alichezea wakati..sasa anatafuta qualification za ubunge wa viti vya upendeleo....baada ya kuuza sura ya U-DJ radio uhuru...amekudanganya kuwa yuko MAKERERE au na wewe unamngonga?
Violet Mzindakaya
Violet is unavailable
Has worked at CHAMA CHA MAPINDUZIStudied at kampala international universityLives in Kampala, UgandaIn a relationshipFrom Dar Es Salam, Dar Es Salaam, TanzaniaBorn on September 29, 1977

- Sasa mkuu hii inahusiana nini na taifa au kuna something I am missing hapo? ha! ha! ha!

Willie @ NYC, USA.
 
MAKERERE ,UD na UNIVERSITY OF NAIROBI...ndio kati ya vyuo vya kwanza afrika mashariki...especially makerere ina miaka 100....huyu dogo kakosa hadi credit za kuingia UDOM ....,Mzumbe etc.BORA angeefanya OUT tungemuelewa kuliko kwenda Kampala kununua vyeti....anafanya first degree akiwa na umri wa miaka 34 ....muda wote alikuwa wapi,alichezea wakati..sasa anatafuta qualification za ubunge wa viti vya upendeleo....baada ya kuuza sura ya U-DJ radio uhuru...amekudanganya kuwa yuko MAKERERE au na wewe unamngonga?
Violet Mzindakaya
Violet is unavailable
Has worked at CHAMA CHA MAPINDUZIStudied at kampala international universityLives in Kampala, UgandaIn a relationshipFrom Dar Es Salam, Dar Es Salaam, TanzaniaBorn on September 29, 1977


My Ass ....first degree at the age of 34....ooohhh No way....kuna wengine wamechukua degree wakiwa over 50 pale OUT eti qualifications.....crazy people....
 
Nawachukia sana hawa Magamba.....kila kitu ni hovyo hovyo hata watoto wao! Tuanze upya bila haya Magamba kama taifa

umesahau ule msemo kila mwendawazimu na fani yake? lol..oanisha utapata jibu!! siyo vichwa maji tu bali vichwa vapour!!!
 
Back
Top Bottom