Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Kwa hakika inashangaza.
Haiwezkani pale simba mchezaji mwenye kujituma awe mzamiru na saido tu hao wengne wanatafuna hela tu.Nafikiri kwa mechi hizi za Yanga si haba Simba nao wataongeza kasi.
Lawama zako hazina mashiko.Simba sc hawaoni aibu kwa kiwango chao? Mimi ni simba sc ila kwa yanayoendelea kwenye frog huko inaniuma sana.
Mda mwingi najiulza kwa nini simba wachezaji wao hawajitumi uwanjani? Uchezaji wa simba na taifa stars hakuna utofauti,kila mchezaji anajipakulia tu kadri wanavyoweza kucheza.
Simba wanacheza mpira mchafu sana hasa mafaza na mamaza waliopo hata wajitumi kama wapo labour room wamechoka sana.
Hv ahmad ally unashndwa kuwaambia hao mafaza waige kwa yanga?
Safari hii tunasubiri AWAKENING ya simba baada ya kutolewa kimataifa na defence mechanism yao itakuwa kushnda vmech vya ligi ila ni too late.
Utopolo mumsaidie mnyama amechomwa na mwiba anachechemea tu.
Usijisahaulishe kuwa Ngao ya Hisani tuliibebea pale Mkwakwani na siyo kwa Mkapa!!??nyie simba endeleeni kuwekeza kwenye mabonanza ya kuujaza kwa mkapa na kiroll town na kibegi
Sijapinga na hongereni kwa hiloUsijisahaulishe kuwa Ngao ya Hisani tuliibebea pale Mkwakwani na siyo kwa Mkapa!!??
AahaaaaaaSimba sc hawaoni aibu kwa kiwango chao? Mimi ni simba sc ila kwa yanayoendelea kwenye frog huko inaniuma sana.
Mda mwingi najiulza kwa nini simba wachezaji wao hawajitumi uwanjani? Uchezaji wa simba na taifa stars hakuna utofauti,kila mchezaji anajipakulia tu kadri wanavyoweza kucheza.
Simba wanacheza mpira mchafu sana hasa mafaza na mamaza waliopo hata wajitumi kama wapo labour room wamechoka sana.
Hv ahmad ally unashndwa kuwaambia hao mafaza waige kwa yanga?
Safari hii tunasubiri AWAKENING ya simba baada ya kutolewa kimataifa na defence mechanism yao itakuwa kushnda vmech vya ligi ila ni too late.
Utopolo mumsaidie mnyama amechomwa na mwiba anachechemea tu.
Hongereni Kwa HiloUsijisahaulishe kuwa Ngao ya Hisani tuliibebea pale Mkwakwani na siyo kwa Mkapa!!??
Kwani huwa huelewi wakisema wenye akili huko kwao ni 2???Yaani Simba mwaka Jana ilipokuwa inashinda bao zaidi ya 6 mbona hawakuringa??
Mwaka Jana wakati Simba wanashinda magoli mengi Yanga si mlikuwa mnasema cha muhimu pointi na siyo magoli??
Mbona Sasa mnawehuka??