Wewe unafikiri kufanya siasa za ushindani afrika ni rahisi kama kuja kujiandikia lolote hapa mtandaoni.Mambo sio rahisi kama unavyofikiria.hiyo chadema bila mbowe ingeshakua mahututi kitambo.usifikiri vyama vingine vilivyokufa vilikua havina mipango yakufika mbali.Acha kutazama mambo kwa mihemko.Kwa Sasa sidhani Kama Kuna mtanzania ana hamu na Mbowe. Alimleta Lowassa akasamehewa, analazimisha maridhiano akasamehewa na Sasa kulazimisha kuingia kwenye uchaguzi batili. Hata Mimi Sina hamu naye.
Kamwe siwezi kumtetea Mbowe, na wala siwezi kabisa kudharau mchango wake katika chama anacho kiongoza.
Lakini Mbowe hatakuwepo milele!Wewe unafikiri kufanya siasa za ushindani afrika ni rahisi kama kuja kujiandikia lolote hapa mtandaoni.Mambo sio rahisi kama unavyofikiria.hiyo chadema bila mbowe ingeshakua mahututi kitambo.usifikiri vyama vingine vilivyokufa vilikua havina mipango yakufika mbali.Acha kutazama mambo kwa mihemko.
Magumashi yalianza Zanzibar na yanaendelea kila baada ya miaka 5Wananchi washajionea vya kutosha Magumashi ya chafuzi chini ya CCM toka mwaka 2019, wamejionea magumashi kwenye process nzima tangu utunzi wa sheria mbovu za uchaguzi. Wananchi wanahitaji kuongozwa ili kupuuza haya maigizo ya chafuzi. Sasa unfortunately Chadema inaflip flop, mara itoe tamko la kamati kuu kuwa bila katiba mpya haitashiriki chaguzi, mara ibadili gia angani. Sasa flipflop hizi wananchi wabayumbishwa na wengine wanapoteza imani hata na CHADEMA yenyewe.
Kama mimi ni "juha" kama unavyo dhani wewe, ni wazi kabisa utakuwa ni chizi aliye kubuhu.Huoni kuwa wewe ni zaidi ya juha,!
Wewe una akili gani kuzidi strategists wa CHADEMA hadi ung'ang'anie wafuate mawazo yako.
Mimi sio mwanachama wa CHADEMA ila nakushangaa wewe unavyodhani unaweza kuwachuuza CHADEMA .
Pamoja na uchafuzi uliofanyika, ningependa kuwasii Viongozi wa CHADEMA wawe wasikivu na kusikiliza ushaurii. Mwanzoni nilishauri tusishiriki kwenye huu uchaguzi wa Serikali za mitaa baada ya mahakama kubariki TAMISEMI kusimamia uchaguzi huo. Kila Mtendaji kapewa maelekezo ya kufanya Sasa unategemea Nini?
Ila Viongozi wa CHADEMA wanajua na msimamo wa kushiriki uchaguzi huo. Nikawa najiuliza je Viongozi wanamkakati wa kuzuia hujuma za CCM? Wagombea wakaenguliwa na vituko vingi kufanya, lakini bado Viongozi wakaendelea kushiriki huo uchaguzi. Najiuliza kwa Yale yaliyotokea kulikuwa hakuna haja ya kuendelea na huo uchaguzi, ilibidi chama kijitie kuonesha protest ya udhalimu uliofanyika.
Mwisho wa siku Viongozi wamelazimisha kushiriki uchaguzi na wakaingia kwenye mtego wa CCM. Maana hata wakiiba utafanya Nini wakati polisi wapo upande wao? CCM wamefanya Hila nyingi kwenye uchaguzi huu lakini kwao ni kawaida.
Hasa Viongozi wamebakia kulalamika na kulaumu. Kwani mlitegemea uchaguzi unasimamiwa na kada wa CCM na Tena mkwe wa Rais awatendee haki. Nilishangaa Sana Lema aliposusia uchaguzi siku ya kupiga kura, nikajiuliza unasusia uchaguzi mwishoni kwanini? Akazira hata kufuatilia matokeo. Nikashangaa Wenje anashadadia CHADEMA ishiriki, nikashangaa Kuna jipya lipi ambalo lipo Kwa CCM linalowafanya Viongozi washiriki uchaguzi huu?
Kwa kweli kiburi Cha Viongozi wa CHADEMA kitaua chama hiki Cha CHADEMA na kitakosa watu wa kujiamini.
Wewe ni mwendawazimu .Kama mimi ni "juha" kama unavyo dhani wewe, ni wazi kabisa utakuwa ni chizi aliye kubuhu.
"...strategists..." unajuwa maana ya neno hilo? Wewe ni mmoja wa hao 'strategists" ndio maana umekuja hapa na kukaza shingo kama Mbowe ni mmeo?
Hebu rudi nyuma kidogo utazame ulivyo ingia kwenye mjadala huu kama hutajitambua kuwa wewe ni chizi kwelikweli.
'RMC'? Hivi umeibukia wapi hasa wewe hadi uwe na moto wa kipumbavu namna hii? Nikitazama tu uandishi wako hapa, naona ni mtu usiye kuwa na uelewa wa kutosha.
Kwa mfano: Unatumia maneno "ung'ang'anie wafuate mawazo yako"? Ni kipi kinakufanya ufikiri nang'ang'ania wafuate. Unaweza kunionyesha nilicho fanya kuwang'ang'aniza?
Kiujumla wewe ni bwege tu mmoja, pengine anaye okoteza masalia anayo acha Mbowe ili kukidhi mahitaji yako. Watu wa aina yako hamna tofauti yoyote na hao wanao jitambulisha kuwa "chawa" huko CCM.
Mwisho nataka uelewe hili, pamoja na kwamba nime kwisha kujulisha na hutaki kulitambua. CHADEMA ni chama cha waTanzania. Siyo mali yako, siyo mali ya Mbowe.
Angalia upumbavu huu, halafu bado hujitambui kuwa wewe ni mpumbavu. Hao unao wazungumzia kukubali itikadi siyo waTanzania?Wewe ni mwendawazimu .
Eti CHADEMA cha watanzania. Hakuna chama cha watanzania. Chana chochote cha siasa ni fungamano la wale wanaokublii itikadi nz falsafa zake lwa wakati fulani ndio huja pamoja kwa kuwa wanachama. Mtu anaweza kukataliwa kuwa mwamachana wa chana chochoe cha siasa ikiwa mtazamo wake kiitikadi ni tofauti na wenzake katika hicho chama.
MImi nimekueleza sio nwanachana wa CHADEMA lakini kwa sababu ya ujuha wako ndio maana nimekujibu. Humu jf watu wanatoa maoni yao tu hakuna mtu au taasisi inayolazimika kuchukua naoni hayo.
hakika mkuu wnanch ndo tmeamua kupelekwa puta lait kam wte tungeona kuna umuhm wa kufany mageuz tungefanikisha. huwez kutgemea vyama ambavyo vinategemea selikal ya ccm kujiendesha af utgemee vitaleta upinzan wa kwel. njia pekee n wananch kuamua kusimama na kudai katiba mpya, unawez kuwa mwanzo mzulViongozi wa chadema utawaonea tu maana hata wasingeshiriki tlp, udp na vyama vingine rafiki wangeshiriki na lawama zingekua kwa staili tofauyi tu kwamba hamjashiriki mmewapa fursa.
Mtu pekee wa kupewa lawama ni mwananchi wa tanzania
Naam Wananchi tupo tupo tu kwasasahakika mkuu wnanch ndo tmeamua kupelekwa puta lait kam wte tungeona kuna umuhm wa kufany mageuz tungefanikisha. huwez kutgemea vyama ambavyo vinategemea selikal ya ccm kujiendesha af utgemee vitaleta upinzan wa kwel. njia pekee n wananch kuamua kusimama na kudai katiba mpya, unawez kuwa mwanzo mzul