Viongozi hawa wahojiwe na kuwajibishwa kama Sabaya kama hakuna upendeleo

Viongozi hawa wahojiwe na kuwajibishwa kama Sabaya kama hakuna upendeleo

kifupi kirefu

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2018
Posts
539
Reaction score
3,507
Kama tupo serious kwamba tumeanza kuamini hakuna aliye juu ya sheria na kwamba Taifa ni muhimu kuliko matamanio binafsi ya viongozi wa chama tawala Basi wafuatao wahojiwe;

1. Paul Makonda - Tukio la wazi linaloashiria jinai ni kuingia Clouds akiwa na silaha za kivita ambazo hakuna sheria inayomruhusu. Lakini pia kupitia GSM amefanya utakatishaji wa fedha ningi. Ametumia madaraka vibaya na ushahidi upo wazi.

2. Mnyeti - Akiwa mkuu wa wilaya ya arumeru alianza biashara ya wazi yakununua watu kurejea CCM. Alielekeza hatua kuchukuliwa kinyume Cha sheria za nchi.

3. Doto James - Alikuwa muidhinishaji wa fedha za umma na anatuhumiwa kufanya matumizi mabaya ya fedha kinyume na sheria ikiwemo kutoa fedha nje ya idhini ya maamuz ya bunge la bajeti.

4. Biswalo Mganga- Alitumia ofisi kufungua kesi zisizo na baraka za kisheria. Alitumia ofisi kupoka watu Uhuru na Mali.
 
Kuhusu Makonda soma mwananchi gazeti la leo uone kamishina wa Takujuru amemhoji kuhusu nini
 
Hv ni kweli shem amehojiw na Takukuru
Nimesoma heading ya mwananchi kuwa, Hamduni afunguka juu ya Makonda hivi tu shem
Screenshot_20210607-055302_millardayo.jpg
 
Kama tupo serious kwamba tumeanza kuamini hakuna aliye juu ya sheria na kwamba Taifa ni muhimu kuliko matamanio binafsi ya viongozi wa chama tawala Basi wafuatao wahojiwe...
Bila kuwasahau;
Bashiru na tuhuma za kuchota mabilioni hazina.

Musiba na matusi, kashfa kwa viongozi na mawakili kama Fatma Karume Shangazi.

Kheri James na kutishia kuua, pia alithibitisha kuwa wao walifanya makosa kumkosa lissu kwa zile risasi za kwanza
 
Weka na Msiba na Mwigulu!
???... Viroba vya mto Ruvu na ufukweni bado havijapatiwa majibu mpaka leo, watu waliopotea Kibiti? Haya na mengineyo kamwe hayatayeyuka hivihivi tu ni lazima kuna siku yataporomoka na kitu
 
Kama tupo serious kwamba tumeanza kuamini hakuna aliye juu ya sheria na kwamba Taifa ni muhimu kuliko matamanio binafsi ya viongozi wa chama tawala Basi wafuatao wahojiwe...
Vipi viongozi wa upinzani wa aoshutumiana wenyewe kwa wenyewe kuhusu matumizi mabaya ya RUZUKU na madaraka?
 
Bila kuwasahau;
Bashiru na tuhuma za kuchota mabilioni hazina.
Musiba na matusi, kashfa kwa viongozi na mawakili kama Fatma Karume Shangazi.
Kheri James na kutishia kuua, pia alithibitisha kuwa wao walifanya makosa kumkosa lissu kwa zile risasi za kwanza
Wote hao wanatakiwa kuwa magereza
 
Kama tupo serious kwamba tumeanza kuamini hakuna aliye juu ya sheria na kwamba Taifa ni muhimu kuliko matamanio binafsi ya viongozi wa chama tawala Basi wafuatao wahojiwe...
Wazo zuri Wahusika na Matendo Maovu wote wawajibishwe
 
Watu kwa ulalamishi hatujambo. Hivi March 2021 nani alijua kama ikifika May 2021 Sabaya atakamatwa? Tuwaache wafanye kazi vile wanaona ni sahihi
 
Kama tupo serious kwamba tumeanza kuamini hakuna aliye juu ya sheria na kwamba Taifa ni muhimu kuliko matamanio binafsi ya viongozi wa chama tawala Basi wafuatao wahojiwe;

1. Paul Makonda- Tukio la wazi linaloashiria jinai Ni kuingia clouds akiwa na silaha za kivita ambazo hakuna sheria inayomruhusu. Lakini pia kupitia GSM amefanya utakatishaji wa fedha ningi. Ametumia madaraka vibaya na ushahidi upo wazi

2. Mnyeti- Akiwa mkuu wa wilaya ya arumeru alianza biashara ya wazi yakununua watu kurejea CCM. Alielekeza hatua kuchukuliwa kinyume Cha sheria za nchi

3. Doto James- Alikuwa muidhinishaji wa fedha za umma na anatuhumiwa kufanya matumizi mabaya ya fedha kinyume na sheria ikiwemo kutoa fedha nje ya idhini ya maamuz ya bunge la bajeti

4. Biswalo Mganga- Alitumia ofisi kufungua kesi zisizo na baraka za kisheria. Alitumia ofisi kupoka watu Uhuru na Mali
 
Kama tupo serious kwamba tumeanza kuamini hakuna aliye juu ya sheria na kwamba Taifa ni muhimu kuliko matamanio binafsi ya viongozi wa chama tawala Basi wafuatao wahojiwe;

1. Paul Makonda- Tukio la wazi linaloashiria jinai Ni kuingia clouds akiwa na silaha za kivita ambazo hakuna sheria inayomruhusu. Lakini pia kupitia GSM amefanya utakatishaji wa fedha ningi. Ametumia madaraka vibaya na ushahidi upo wazi

2. Mnyeti- Akiwa mkuu wa wilaya ya arumeru alianza biashara ya wazi yakununua watu kurejea CCM. Alielekeza hatua kuchukuliwa kinyume Cha sheria za nchi

3. Doto James- Alikuwa muidhinishaji wa fedha za umma na anatuhumiwa kufanya matumizi mabaya ya fedha kinyume na sheria ikiwemo kutoa fedha nje ya idhini ya maamuz ya bunge la bajeti

4. Biswalo Mganga- Alitumia ofisi kufungua kesi zisizo na baraka za kisheria. Alitumia ofisi kupoka watu Uhuru na Mali
5. lema naye anatakiwa ahojiwe kuhusu tuhuma hii huu si ubinadamu hata kidogo kama mtu hakutaki wamlazimishia nini? genye zake zimemponza

 
Kama tupo serious kwamba tumeanza kuamini hakuna aliye juu ya sheria na kwamba Taifa ni muhimu kuliko matamanio binafsi ya viongozi wa chama tawala Basi wafuatao wahojiwe;

1. Paul Makonda- Tukio la wazi linaloashiria jinai Ni kuingia clouds akiwa na silaha za kivita ambazo hakuna sheria inayomruhusu. Lakini pia kupitia GSM amefanya utakatishaji wa fedha ningi. Ametumia madaraka vibaya na ushahidi upo wazi

2. Mnyeti- Akiwa mkuu wa wilaya ya arumeru alianza biashara ya wazi yakununua watu kurejea CCM. Alielekeza hatua kuchukuliwa kinyume Cha sheria za nchi

3. Doto James- Alikuwa muidhinishaji wa fedha za umma na anatuhumiwa kufanya matumizi mabaya ya fedha kinyume na sheria ikiwemo kutoa fedha nje ya idhini ya maamuz ya bunge la bajeti

4. Biswalo Mganga- Alitumia ofisi kufungua kesi zisizo na baraka za kisheria. Alitumia ofisi kupoka watu Uhuru na Mali
HICHO MNAKITAFUTA MTAKIPATA TUU HUU UTARATIBU WA KUFUKUA MAKABURI ENDELEENI NAO TUU LAKN 2025 INAKUJA WATU WANAWACHORA TUU

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
HICHO MNAKITAFUTA MTAKIPATA TUU HUU UTARATIBU WA KUFUKUA MAKABURI ENDELEENI NAO TUU LAKN 2025 INAKUJA WATU WANAWACHORA TUU

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ushauri wenye uzito. Kwani, kinachoshabikiwa na mwanzilishi wa hoja ni dhahiri kuwa upinzani ukiingia madarakani badala ya kujenga mshikamano itakuwa ni kulipiza kisasi. Ikiwa hivyo nchi hii haitakalika kamwe.

Kwa waumini wa dini ya Kristo, Maandiko Matakatifu:
Zaburi 130:3 Bwana, kama Wewe ungehesabu maovu, Ee Bwana, nani angesimama?

Marko 11:25,26 Nanyi, kila msimamapo na kusali, sameheni, mkiwa na neno juu ya mtu; ili na Baba yenu aliye mbinguni awasamehe na ninyi makosa yenu. Lakini kama ninyi hamsamehe, wala Baba yenu aliye mbinguni hatawasamehe ninyi makosa yenu.

Mathayo 6:14,15 Kwa maana mkiwasamehe watu makosa yao, na Baba yenu wa mbinguni atawasamehe ninyi. Bali msipowasamehe watu makosa yao, wala Baba yenu hatawasamehe ninyi makosa yenu.

Warumi 2:6, 4:25 atakayemlipa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake; ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa ili mpate kuhesabiwa haki.
 
Back
Top Bottom