Viongozi kutoka CAF wakipata chakula

hapo niviongozi kutoka CAF wakipata chakakula wapo hapa nchini kuhusiana na Africa super ligi sasa najiuliza mbona cioni ata kiongozi mmoja wa 🌳🌳🌳🌳au wao sio super au basi
Comment fupifupiπŸ˜‚
 
hao jamaa inaonekana wanakula sana. mbona sahani zote tupu? wafrica tunapenda sana kula
 
Halafu nadhani timu hazitakuwa zinabadilishwa kirahisi katika hii ligi, yaani wanaweza kwenda misimu kadhaa na timu hizo hizo. Sasa imagine miaka 10 ya sonona kwa ndugu zetu walee!
Hahahaha unaijua ligi ya marekani

Ndio ina mfumo wa superleague humo timu hazitoki kizembe na hakuna kushushwa daraja sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…