Viongozi kutoka CAF wakipata chakula

Viongozi kutoka CAF wakipata chakula

Ni mashindano ambayo CAF wamelenga kupiga ela maan walichoangalia ni kigezo cha idadi ya vibe ya washabiki tu na sio kigezo cha zinazoongoza kwa ubora. Orlando pirates, Raja Casablanca ni moja ya timu zenye profile kubwa ambazo hazitoshiriki. Al Ahly kapewa mwaliko ila bado haja confirm kushiriki kwa sababu wana mashindano ya ratiba ya Arab champions cup
 
Ni mashindano ambayo CAF wamelenga kupiga ela maan walichoangalia ni kigezo cha idadi ya vibe ya washabiki tu na sio kigezo cha zinazoongoza kwa ubora. Orlando pirates, Raja Casablanca ni moja ya timu zenye profile kubwa ambazo hazitoshiriki. Al Ahly kapewa mwaliko ila bado haja confirm kushiriki kwa sababu wana mashindano ya ratiba ya Arab champions cup
Yote hayo kwasababu yanga haipo kwa taarifa yako wanaangalia current performance na sio huo utopolo wako ulioandika

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Yote hayo kwasababu yanga haipo kwa taarifa yako wanaangalia current performance na sio huo utopolo wako ulioandika

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Current performance siyo,wasingekuja afrika mashariki,wameukuja kwa kuangalia vibe,maana insta hakuna Kama Simba dunia hii,ni point mojawapo,wangeangalia performance Simba asingekuwemo
 
Current performance siyo,wasingekuja afrika mashariki,wameukuja kwa kuangalia vibe,maana insta hakuna Kama Simba dunia hii,ni point mojawapo,wangeangalia performance Simba asingekuwemo
Huyo kakaririshwa, Raja Casablanca kamwacha Simba, Horoya, na Tp Mazembe mbali sana kwa performance za hivi karibuni lakini hajachukuliwa Raja ila Simba, Horoya na Tp Mazembe wamechukuliwa.
 
Kwenye masuala ya oesa, Mudi anaingia frontline mwenyewe. Huyu jamaa bana!
 
Ni mashindano ambayo CAF wamelenga kupiga ela maan walichoangalia ni kigezo cha idadi ya vibe ya washabiki tu na sio kigezo cha zinazoongoza kwa ubora. Orlando pirates, Raja Casablanca ni moja ya timu zenye profile kubwa ambazo hazitoshiriki. Al Ahly kapewa mwaliko ila bado haja confirm kushiriki kwa sababu wana mashindano ya ratiba ya Arab champions cup
Utopolo kwa kujipa matumaini hamjambo
 
Huyo kakaririshwa, Raja Casablanca kamwacha Simba, Horoya, na Tp Mazembe mbali sana kwa performance za hivi karibuni lakini hajachukuliwa Raja ila Simba, Horoya na Tp Mazembe wamechukuliwa.
kila kanda lazima itoe timu,
sasa kanda ya kaskazini kule wababe wengi...

kanda ya cecafa ni simba, central mazembe, west (sijui), north west ni horoya, cosafa ni mamelodi, north ni al ahly,.......

haya kuna wengine wataongezeka sijui ndio vigezo gani watatumia
 
kila kanda lazima itoe timu,
sasa kanda ya kaskazini kule wababe wengi...

kanda ya cecafa ni simba, central mazembe, west (sijui), north west ni horoya, cosafa ni mamelodi, north ni al ahly,.......

haya kuna wengine wataongezeka sijui ndio vigezo gani watatumia
Kanda zipo tatu kila kanda inatakiwa itoe timu nane. Jumla ya timu zinazotakiwa ni 24
 
Back
Top Bottom