Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikuwaptezea tuKumekuwa na wimbi la viongozi wa umma kutopokea simu zao. Simu za mezani nyingi hazipokelewi na kiganjani pia. Je, Ili kuwepo mawasiliano rahisi kati ya Umma na Viongozi hao, nini kifanyike?
mfano: una shida taasisi fulani, halmashauri ama wizara yeyote ile. unaeleza shida yako na kujibiwa kuwa njoo baada ya siku tatu, au wiki. Lakini kwa urahisi wa mawasiliano unaomba namba ya ofisi hiyo husika ili kabla ya kuja ujue wamefikia wapi. unapewa. unarudi mfano km50 au 100 ulizotoka. siku uliyoahidiwa inafika na unapiga simu kwa namba hiyo na haipokelewi!!! kesho yake unafunga safari unaenda tena kwenye ofisi hiyo, ukifika kwanza hata kukusahau wamekusahahu!! pili unaanza kueleza tatizo upya!! tatu unaambiwa njoo tena baada ya wiki!!!!! Kama simu zingefanya kazi ipasavyo zingerahisisha kuondoa usumbufu!!! (NB: huu ni moja ya mifano ya mingi iliyopo ya usumbufu unajiotokeza kwa kutokuwepo kwa urahisi wa mawasiliano)Nikuwaptezea tu