ESCORT 1
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 1,412
- 3,043
Leo tuwakumbuke viongozi mahiri na shupavu kuwahi kutokea Tanzania.
Naanza na Bibi Titi Mohamed, huyu kwangu mimi anabakia kuwa “Iron Lady” mwanamama mahiri zaidi katika ardhi ya Tanzania.
Huyu ni miongoni mwa waliojitoa haswa katika harakati za Uhuru enzi ya TANU. Alikuwa na misimamo haswa.
Huyu aliwahi kula njama za kumpindua Nyerere mwaka 1969 akabainika akafungwa jela maisha na baadae kusamehewa na Rais Mwinyi na kurudi tena katika harakati za siasa mpaka alipofariki dunia mwaka 2001 nadhani.
wewe unamkubali yupi?
Naanza na Bibi Titi Mohamed, huyu kwangu mimi anabakia kuwa “Iron Lady” mwanamama mahiri zaidi katika ardhi ya Tanzania.
Huyu ni miongoni mwa waliojitoa haswa katika harakati za Uhuru enzi ya TANU. Alikuwa na misimamo haswa.
Huyu aliwahi kula njama za kumpindua Nyerere mwaka 1969 akabainika akafungwa jela maisha na baadae kusamehewa na Rais Mwinyi na kurudi tena katika harakati za siasa mpaka alipofariki dunia mwaka 2001 nadhani.
wewe unamkubali yupi?