Lucas Mwashambwa unaitwa huku.Hakuna kama Lucas Mwashambwa
Umeajiriwa op gani? AfandeHakuna Mwana Mama Na mwanamke Imara kuwahi kutokea katika ardhi na Bara la Afrika wa kufananishwa na Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Huyu mama ni chuma kwelikweli.Ni mtu na Nusu .sina uhakika kama ardhi ya Tanzania na barani Afrika atatokea Mwanamke mwingine jasiri, Shupavu, madhubuti,imara ,hodari na mwenye uwezo mkubwa wa kiuongozi na aliyekamilika kila idara kama alivyo Rais Samia .
Nampa saluti Rais Samia.🙏
Achana na huyo ni mgonjwa wa akili.Lucas Mwashambwa unaitwa huku.
Mimi chawa wako nimeumia sana kwa mwamba kama wewe kutajwa kama kiongozi mahiri wa kike kupata kutokea Tanzania.
Na nimeamua kwenda kumfungulia mashtaka ndugu OC-CID kwa kosa la kukuanamkisha.