Mwadilifu Mdhulumiwa
JF-Expert Member
- Jul 22, 2021
- 419
- 640
Ananikumshia kijana Pogba wa Man Utd. Atacheza mechi moja kali sana na kuonekana mchezaji wa kiukweli then mechi inayofuata anakuwa useless. Ndiyo maana Mourinho alikuwa hapendi kumchezesha mechi kubwa kubwa kwa sababu hajuwi kudefend hata kidogo.Ni kweli, halafu hana mwendelezo. Akicheza vizuri mechi moja, zinazofuata anakuwa hana msaada wa maana.
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.
Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.
Tumeudhika sana leo.
hizo pumba kaongelee kitandani kwako na mkeo chumbani!Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.
Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.
Tumeudhika sana leo.