Viongozi Simba acheni kiburi, mtaturudisha enzi za akina Jimmy David Ngonya, Morrison anahitajika Simba

Viongozi Simba acheni kiburi, mtaturudisha enzi za akina Jimmy David Ngonya, Morrison anahitajika Simba

Hatutaki wachezaji wanaobahatisha game au wanaocheza kulingana na jinsi wanavyoamka! Leo anapiga vizuri, na keshokutwa hovyooo!
Acha wapishe nafasi tusajili wengine ambao wanakimbiza fresh kila game!
 
Ni kweli, halafu hana mwendelezo. Akicheza vizuri mechi moja, zinazofuata anakuwa hana msaada wa maana.
Ananikumshia kijana Pogba wa Man Utd. Atacheza mechi moja kali sana na kuonekana mchezaji wa kiukweli then mechi inayofuata anakuwa useless. Ndiyo maana Mourinho alikuwa hapendi kumchezesha mechi kubwa kubwa kwa sababu hajuwi kudefend hata kidogo.
 
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.

Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.

Tumeudhika sana leo.

Wakiendelea na ujinga tutawasusia timu wabaki nayo. Chama yupo nje kwa sababu gani?. Timu haina kiongozi. Very stupid viongozi.
 
Viongozi Simba acheni kiburi, Morrison ni msaada mkubwa kwetu, timu haina mtu wa kufoc, Sakho, Banda na Mhilu bado wachanga sana, ujeuri wenu na majivuno mnawaumiza mashabiki wenu, watu mitaani wanaipenda Simba kuliko ninyi, ninyi mko kimaslahi t lkn mtaani watu wanaumiza, mnaonekana kama mnaihujumu Simba, Azam walikuwa wakufa kabisa leo kama Morrison angekuwepo.

Watu wanavumilia sana sema hamjui tu, mnasimamisha wachezaji bila mpango, hamsemi ukweli, timu haina uwezo mnaipeleka ikacheze na Yanga Nusu fainali, siku moto ukiwaka mtashindwa kuuzima.

Tumeudhika sana leo.
hizo pumba kaongelee kitandani kwako na mkeo chumbani!
 
Back
Top Bottom