Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Nawashauri viongozi wa Simba, mechi yetu na Utopolo safari hii tuache mzaha, tumefuzu group stage lkn furaha yetu kuelekea krismas ni kumuua utopolo tu, haiingii akilini kila tunapocheza nao wanatudhalilisha kwa mabao ya kitoto, mtu pekee mwenye ujanja wa kuikomesha Utopolo ni Hassan Dalali pekee, acheni dharau, Utopolo kiboko yao ni Dalali tu, alikuwepo marehemu Juma Salum, amir Bamchawi na msukuma Marco Masanja ambaye yuko jela China, otherwise mtawapa cha kusema hao watu.
Chonde chonde, wasaliti wote msiwashirikishe kwenye timu yetu kuelekea jumapili, hasa huyo mwanasiasa wa kusini.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
Chonde chonde, wasaliti wote msiwashirikishe kwenye timu yetu kuelekea jumapili, hasa huyo mwanasiasa wa kusini.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app