Viongozi wa Afrika bado wametawaliwa na fikra za kikoloni, Waafrika wananyanyasika Dunia nzima hawachukui hatua. Inauma sana

Viongozi wa Afrika bado wametawaliwa na fikra za kikoloni, Waafrika wananyanyasika Dunia nzima hawachukui hatua. Inauma sana

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Pamoja na Afrika kuwa na utajiri wa rasilimali zote lakini waafrika si tu kwamba hawafaidi rasilimali zao lakini pia zimewatesa sana rasilimali zao kwa vita za kuchonganishwa.

Afrika imebarikiwa hata hali ya hewa ya Afrika inavutia lakini viongozi wetu wanaongoza kuwatukuza wakoloni wa kizungu na kichina kwa kuamini vitu bora vinatoka Ulaya.

Limeibuka swala la Corona limepelekea waafrika weusi Marekani Ulaya na Uchina kunyang'anywa Ventilator na wanajifia

Imefikia hatua mbaya sana Wachina wanawafukuza Waafrika majumbani inauma sana. Mimi ninasema wazungu wana huruma kidogo kuliko Wachina. Mimi ningekuwa na onelea tuwafurushe wachina wote tunaoishi nao Afrika.

Viongozi wa Afrika wekeni mazingira rahisi ya watoto wenu kupata riziki hapa hapa Afrika.

Kwa mfano, Waafrika wengi kukimbilia kusoma China ni kutokana na mazingira magumu ya watoto kutimiza ndoto zao kwa mfano kwa Tanzania mtoto kusoma udaktari kwa sasa imekuwa kama unatafuta tiketi ya kuingia mbinguni lakini wenzetu wameweza vipi very painful sana.
 
Si unaona wamarekani wamezuia makontena yanayoenda ulaya huko, na ule mzigo unaoenda ujerumani unadaiwa umepotea je? Wao wenyewe ka wenyewe wanageukana utashangaa wakimnyanyasa muafrika?

Hakuna kitu kibaya kuwa na urafiki na anayekata kama msumeno mbele na nyuma
 
African leaders always die in foreign country hospital,ukijiuliza kuhusu Hilo utaelewa why Africa is poor
 
Wanafanya Kama wachina au serikali ya china.kuhusu ubagauzi Jamii zote ni wabaguzi.Hata sisi Africa tuliwabagua na kuwanyanyapaa kabla Corona haijawa janga la dunia
 
Athari za ukoloni hazikuwa za kimwili tu, zaidi na tena sana ilikuwa ni za kifikra na kiakili. Ukoloni ulibadilisha na kudunisha akili za Mwafrika. Mpaka leo watu wengi huona fahari wanapokariri, kuiga na kutenda yote yale yanayofanyika ktk mataifa yaliyoendelea.

Ndiyo! Yapo mengi mazuri na kuiga kutoka kwao, lkn si kila la asili kutoka Afrika ni la kishamba. Tuna mengi mazuri ya kuyaendeleza, mathalani vyakula vyetu vizuri na vyenye afya vya asili, tamaduni zetu, maisha yetu kiasili na ya kijamaa, utu wetu, mavazi yetu, ndoa zetu za wake wengi
emoji257.png
n.k.
 
Hao viongozi wenyewe ni wanyanyasaji balaa! Wanawaibia wazee wao, watoto wao na kukimbizia huko nje.
Si rahisi sana kumkomalia aliyetunza hazina yako.
 
Africa tuna mabalozi na wanyanyaswaji wenyewe,hawa ndo wakusema ukweli na sio serikali ya China. hali ni mbaya sana China nina jamaa zangu

Nimemsikia Balozi wetu nchini China Bw. Mbelwa Kairuki akitetea UPUMBAVU!
Baba wa Taifa alitufundisha kuwa: "WAAFRIKA WOTE NI NDUGU ZANGU NA AFRICA NI MOJA"
Balozi Kairuki anakanusha ati HAKUNA Mtz aliye nyanyaswa...Non-sense! Kairuki anaona Ni sawa tu kwa Mkenya, Mnigeria,M-Afrika kusini etc, wakifanyiwa huu UNYAMA!

Wako wapi Marais Kama Nyerere, Mandela, Samora etc waliokataa UBAGUZI wa Waafrika kwasababu ya rangi zao kama huu umeanza China na Marekani? This must be condemned at any cost! Kupitia gonjwa hili la Corona dunia imeanza kushuhudia UBAGUZI wa watu WEUSI kwa uwazi kabisa.....!!

Wako wapi kina Martin Luther King Jr. kule Marekani?
Wamerekani WEUSI ndo wengi wanaokufa @rate of 60% kwa kila vifo 100....,!ATI kisingizio hawana bima ya Afya na ni maskini KUMBE WANANYIMWA VENTILATORS ili wafe...!!! Shame on America,shame on Donald Trump!
 
Pamoja na Afrika kuwa na utajiri wa rasilimali zote lakini waafrika si tu kwamba hawafaidi rasilimali zao lakini pia zimewatesa sana rasilimali zao kwa vita za kuchonganishwa.

Afrika imebarikiwa hata hali ya hewa ya Afrika inavutia lakini viongozi wetu wanaongoza kuwatukuza wakoloni wa kizungu na kichina kwa kuamini vitu bora vinatoka Ulaya.

Limeibuka swala la Corona limepelekea waafrika weusi Marekani Ulaya na Uchina kunyang'anywa Ventilator na wanajifia

Imefikia hatua mbaya sana Wachina wanawafukuza Waafrika majumbani inauma sana. Mimi ninasema wazungu wana huruma kidogo kuliko Wachina. Mimi ningekuwa na onelea tuwafurushe wachina wote tunaoishi nao Afrika.

Viongozi wa Afrika wekeni mazingira rahisi ya watoto wenu kupata riziki hapa hapa Afrika.

Kwa mfano, Waafrika wengi kukimbilia kusoma China ni kutokana na mazingira magumu ya watoto kutimiza ndoto zao kwa mfano kwa Tanzania mtoto kusoma udaktari kwa sasa imekuwa kama unatafuta tiketi ya kuingia mbinguni lakini wenzetu wameweza vipi very painful sana.
Kumbe na wewe unaumia mtu anaponyanyaswa!??
 
M
Mkuu, inauma Sana, inauma Sana, ni Wakati wakusema Basi yatosha,

Hawa Wachina ni washenzi na wahuni wakubwa! Urafiki wao na Waafrika ni wa HILA au GHILIBA! Wanachotaka Ni RASLIMALI ZETU(ardhi,madini,mazao,Wanyama nk.) ilhali sisi hawatuthamini!!!
Hili kamwe halikubaliki!
 
Nchi za watu weupe kama wanavyojiita wengi ni wabaguzi sana na mtu mweusi...

Viongozi wa Africa wachache sana wenye ujasiri wa kuwakemea...



Cc: mahondaw
 
Hawa Wachina ni washenzi na wahuni wakubwa! Urafiki wao na Waafrika ni wa HILA au GHILIBA! Wanachotaka Ni RASLIMALI ZETU(ardhi,madini,mazao,Wanyama nk.) ilhali sisi hawatuthamini!!!
Hili kamwe halikubaliki!
Kuna Nguchiro wa kichina na India ni wabaguzi sana,nashangaa tunavyowachekea katika nchi zetu
 
Hao jamaa bado tunawahitaji sana hivyo tuwe wavumilivu tu
 
Back
Top Bottom