Moderators naomba kwanza Muache kunishambulia au Kunifungia kwa Uonevu,Nilikuwa member wa huku bila jina bila kuweza kuandika baada ya ninyi kunifungia pasipo sababu za msingi mwaka jana,kisa nilikuwa na mabishano na kutokuelewana na mtu mmoja humu ndani jina nitamtaja baadae.Nikabaki kuwa msomaji tu.Hata hivyo nashukuru sana kwa kuwa members wengi najua mtaniunga mkono,sitamuonea mtu haya wala sitafuata mkumbo
Anyway,hoja yangu ni kuwa tunatambua kuwa Baraza la Vijana la CHADEMA linafanya Uchaguzi mwezi huu kama sikosei.Ningependa kuwatahadharisha BAVICHA kuwa makini na watu wafuatao kwa kadiri nitakavyowachambua
1. John Heche
Huyu ni kijana mwenye uwezo katika kukuru kakara za siasa Tanzania,alishawahi kuwa Diwani huko Tarime
Pia alishashiriki kwa kugombea Uenyekiti kwenye uchaguzi wa Mwanzo.Ni mhitimu ambaye ni mwalimu proffesionally
Lakini:-
Huyu ni mpenda vurugu na utoto mwingi.Sidhani kama ana uwezo wowote wa kuongoza CHADEMA ktk level hii ya sasa labda kama ingekuwa enzi zile CHADEMA ikiwa changa bado
Huyu naye pamoja na kuwa ameoa bado harakati zake na sketi hazijakoma,hana maadili ya kitanzania.Uchaguzi uliyopita huyu ndiye aliyekuwa Chanzo cha kuvunjika uchaguzi ule.Pia hata uchaguzi wa Tarime,huyu ndiye chanzo cha CHADEMA kukosa lile jimbo kwa sababu ya Ubinafsi wake
2.David Silinde
Huyu ni Mbunge wa mbozi.Ni kijana mwenye bidii na ana ushawishi chuo kikuu cha Dar Es Salaam.Ni mhitimu mwenye degree ya biashara
Uhusiano wake nje ya siasa za UDSM haufahamiki kwa sababu hata Bungeni sijaona jambo lolote kutoka kwake.Huyu ni bora angeachia wenzake wenye nguvu na spidi ktk kujenga jumuiya inayoendana na kasi ya mabadiliko.Kwanza huyu hana uelewano mzuri na wabunge wenzake,ni kijana asiye na dira na hawezi kujenga ushawishi kwa vijana 9kwa maana ya makundi yote ya vijana0.huyu atarudisha kasi ya mabadiliko nyuma.Ninayo ya ziada nitaeleza hapo baadae
Maadili yake ni machafu,kuokota okota vichangu mitaa ya kati tu,hana simile na mademu.Utoto umemjaa mno.Hii ni hatari
3.Ben Saanane
Huyu ni Mpole kwa kumwangalia usoni ila ......
Ni mhitimu mwenye Masters kwenye maswala ya Uhusiana wa kimataifa na Diplomasia.Ana uwezo mkubwa wa kuchambua mambo na kupanga mikakati ya kisiasa.Ni bingwa wa Propaganda
Ila ni Hatari kwa sababu
Kwanza huyuni Mzaliwa wa Kilimanjaro kanda ya kaskizini.Wandugu mnaelewa jinamizi linaloitafuna CHADEMA,Udini na ukabila.Huyu moja kwa moja hafai
Pia ,akiwa chuo kikuuu ana kashfa ya kutembe na profesa wake anaitwa Beer Sheba ambaye alikuwa visiting Professor from Hebrew University ya Israel,alisababisha hadi ugomvi kati ya Profesa Beer Sheba na dada mmoja ambaye alikuwa Ofisa ubalozi kwenye Ubalozi wa South Africa-Indiaambaye naye alikuwa anatoka na huyu jamaa,tena baada ya huyu jama kumzidi kete jamaa mmoja wa Nigeria na Mzambia waliokuwa wanamfukuzia
Pia,nakumbuka huyu jamaa wakati anagombea Urais wa serikali ya wanafunzi wa kimataifa hapo Chuoni,alitumia propaganda chafu kuwagawa wakenya.Alitumia ukabila akaweza kuungwa mkono na wakikuyu na waluya.Pia alitugawa waafrika kikanda ali ajihakikishie kura za nchi za SADC na Africa magharibi.
Pia ana Kashfa ya kumdhulumu Nape Nnauye ambaye anaheshimika hapa Tanzania na hasa vijana kwa kumuundia zengwe hadi wakampindua alipokuwa mwenyekiti wa jumuiya ya wanafunzi wa Acharya university kule Bangalore India,ingawa yeye hakuwa mtu jimbo lile alihakikisha amewatumia Marafiki zake akina Emmanuel oberlin ambaye alikuwa mwenyekiti mahala pa Nape Nnauye
Huyu hafai kwa sababu amekuwa na kashfa ya kushawishi kundi lake la wanafunzi wa kihindi wafanye siasa za kimabavu na ubabe hadi vurugu zikatokea na wanafunzi 12 kuuwaa na polisi 7 kuchinjwa katika zile vurugu wakati akiwa mwanafunzi chuo kikuu Allahabad,chuo kilifungwa na yeye kuhojiwa na polisi.Kwa sababu ya ushenzi wake wakaiba faili la upelelezi,huyu hafai BAVICHA
Sababu nyingine,alisababisha uhusiano mbaya na ubalozi kwa kumuandikia barua ya vitisho na kejeli huku akijua ni watu waliomzidi umri na wameteuliwa kuiwakilisha nchi,kisa kutaka atoe Amri ya wanafunzi ambao ni wafuasi wa vyama vya siasa wasifungue matawi nje na ofisi za ubalozi zisihusike.Mbona yeye hakufungua tawi la CHADEMA na kumuita balozi ili kupima uzalendo wake kwa chama?Cha ajabu ni msomi wa masuala ya Diplomasia lakini anapenda kutumia vitisho katika kushinikiza,ndiyo maana hata balozi wetu wa zamani alikuwa na uhusiano mbaya na sisis kwa sababu ya huyu jama na kundi lake la Mafia utadhani wao ndiyo ubalozi wa Tanzania
Pia,alishakuwa na kashfa ya kuingia kinyemela kwenye chuo cha mafunzo ya kijeshi cha Jabalpur na kutumia mwanya wa wanajeshi waafrika akijifanya yeye ni mu-ethiopia.Haijulikani aliingiaje humo ndani na kuchukua mafunzo miezi kadhaa hadi aliposhtukiwa,kama anabisha aje huku au apige picha kidole chake aseme alikopata lile jeraha.Alipoona hali ni tight alikimbilia ubalozi wa Uingereza,imagine huyu ni mtu wa international relations,ishu yake ilitinga hadi ubalozini balozi akasema hilo swala ni kosa lake binafsi.Sasa jamani huyu si angetuingiza kwenye mgogoro na India?
Pia amekuwa na mgogoro na profesa wake wa Uchumi hadi akakaribia kuwa suspended,lakini akatumia mwanya wa kuwa na sapoti ya wahadhiri wengi hadi yule profesa akahamishwa na kupelekwa campus ya mbali.Huyu hafai kwanza ana hulka za kidikteta pale anapoona anazidiwa,yeye anaamini katika kupinduapindua tu.Hana subira,na ni mtu wa Visasi ingawa haonyeshi.Ila akipata nafasi ndipo utajua true colours,aligombana na wakisii wote wa kenya.Kila uchaguzi wao unapofika akijitokeza mkisiii hutumia mamluki kuwavuruga.Tabia chafu kama hizi si siasa hata kidogo,kuna rafiki yangu alikua anagombea uenyekiti wa wanafunzi wa kikenya alikuwa mwanafunzi wa Uzamivu amabaye sasa hivi ni lecturer kenya polytechnic University anaitwa Dr.John Bonuke,alim-frustrate hadi jamaa akashindwa kuandika thesis yake.Alihakikisha jamaa ameshindwa uchaguzi na kutumia mwanya kumpandikiza dada mmoja Mluya..yeye ni mtanzania,huko kwa wakenya kulimuhusu nini?
Hayo na mengine mengi nitayaeleza baadae.
4.Greyson
Pamoja na kwamba ni kijana aliyesomea udaktari,anakazana sana kujitokeza katika fani ya Siasa.Ni kijana anayejitolea
Hata hivyo hatambui chochote nje ya kanda ya ziwa na au huko kwingine kidogo.Huyu anafa katika uhamasishaji.CHADEMA msifanye kosa kwa kumchagua mtu ambaye ataburuzwa,yeye nimefuatilia siasa zake nikajua ni kuwa anataka kujitokeza katika ulingo wa kisiasa tu
5.Habibu Mchange
Huyu angefaa.kwanza ni muislam na hatoki kanda ya kaskazini
Lakini
Bado hajakomaa lakini nahisi huyu ndiye anafaa zaidi.Kwanza huyu ni mgombea Ubunge 2010 ingawa alichakachuliwa kati ya wagombea wote hapo juu