Viongozi wa BAVICHA waliokuwa wanashikiliwa Mkoani Singida wameachiwa huru

πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakika Wameshika Adabuu
Wajaribu Kurudia tena Ule Upumbavuu..
 
Wanaweza kukamatwa tena na huu utawala dhalimu
 
Wengine wengi pia waachiwe mahala popote wanaposhikiliwa.
 
Lissu kafuta CCM huko ..... pole yako
 
Hii ni katika kesi ambayo binafsi iliniumiza mno na ilinifanya niwaze mara mbili kuhusu uhuru wa mahakama.Kama bado nakumbuka visingizio vya kuwa "hakimu anaumwa,Jaji anahudhuria kuapishwa n.k ).Poleni sana.
 
Huu ujinga wa kutesa watu mahabusu kwa kuwanyima dhamana kisha kuja kusema serikali haina nia ya kuendelea na kesi ni upumbav unaofanywa na serikali kukomoa watu!Kwa mantiki hiyo serikali inakuwa mahakama maana ni kama imewahukumu na kuwafunga mpaka pale itakaporidhika!Huu ni ushenzi unaopatikana Africa tu!
Kama swrikali inajua ina kesi ya msingi kwanini mara baada ya kuwatesa inaamua kuondoa kesi?Hii ni style mpya ta kutesa wapinzani kwa kupindisha haki ya dhamana!
 
πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
Hakika Wameshika Adabuu
Wajaribu Kurudia tena Ule Upumbavuu..
Unafurahia mateso ya wengine?UVCCM walioimba Mungu mmbariki Magufuli mbona hawakuchukuliwa hatua zozote?Hii style ya kutesa wapinzani kwa kuwapa kesi kisha kuwanyima dhamana ili muwatese mahabusu halafu baadaye mnakuja kusema hamna nia ya kuendelea na kesi ni uonevu!Hao watu nao wana ndugu,jamaa na marafiki!Halafu kesho mnasema watu sio wazalendo,wakati mgawanyiko mnautengeneza wenyewe!

Ndio maana makada wa CCM wakifa watu wanafurahia,ni kutokana na haya!
Endeleeni!
 
Hii ni katika kesi ambayo binafsi iliniumiza mno na ilinifanya niwaze mara mbili kuhusu uhuru wa mahakama.Kama bado nakumbuka visingizio vya kuwa "hakimu anaumwa,Jaji anahudhuria kuapishwa n.k ).Poleni sana.
Miezi inakaribia mitano wanapigwa danadana huku kosa linadhaminika!!Halafu ili ujue malengo yao,baada ya kufikia hukumu eti ndio DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi!Huu ni ushenzi unaofanywa na watawala kuwakomoa wapinzani!
 
Exactly,na video ipo mpaka leo.Kuna wakati sisi CCM tunatakiwa tuone aibu.Double standard haitusaidii.
Mbunge anakamatwa na silaha ambazo zingine hamana miliki nazo na kesi inaisha within two months,mtu mwingine anasoteshwa kwa miaka
 
Hivi kwa nini Nasrat na BAVICHA wasifungue kesi dhidi ya mwendesha mashitaka.

BAVICHA waangalie namna ya kupigania haki ya Nasrat na wengine.

Kumuweka mtu ndani miezi minne unakuja kusema umefuta kesi, kwa nini asishitakiwe.
 
Miezi inakaribia mitano wanapigwa danadana huku kosa linadhaminika!!Halafu ili ujue malengo yao,baada ya kufikia hukumu eti ndio DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi!Huu ni ushenzi unaofanywa na watawala kuwakomoa wapinzani!
Tulimhitaji sana Lissu kufumua mifumo dhaifu ya taifa letu.Leo kiongozi mdogo ccm anaweza kuwapa maelekezo DCI,DPP,IGP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…