Viongozi wa BAVICHA waliokuwa wanashikiliwa Mkoani Singida wameachiwa huru

Viongozi wa BAVICHA waliokuwa wanashikiliwa Mkoani Singida wameachiwa huru

Huyu Nusrat anaonekana ni pisi kali, mwenye picha yake nyingine tafadhali hasa akiwa amesimama
 
Inawezekana hao nusrat na twaha sio watu wema mbele za Mungu, hivyo ni kama na wao wamelipws tu kwa uovu wao mwingine wanaofanya nje au ndani ya siasa.
Wangegoma kutoka ndani, Maisha ni zaidi ya siasa, ila hawa mafedhuli watalipwa tu na Mungu.
 
Serikali na yenyewe ndio muda wao umefika wa kuteswa na "BUNGE LA EU", acha wafedheheshwe na kuaibishwa kwa kula hela za msaada wa kupambana na Covid-19.

Malipo hapa hapa duniani. Acha wafe kwa presha na kisonono tu. Tutaweka bendera nusu mlingoti, haina noma fresh tu.
Mtasubiri sana
 
DPP ni Mpuuzi sana ,unawaweka watu ndani miezi minne kisha unasema hauna nia ya kuendelea na kesi...WTF?
 
Ni kweli kabisa. Nyinyi ni mashetani ndo maana hamjawahi kushinda popote. Wimbo wa taifa kweli mkapandishie bendera ya chama? Hii ni adabu gani? mara ya kwanza mlibadilisha wimbo wa taifa mkaufanya wa chama, mkavumiliwa. Naona safari hii dola imeamua kuwafundisha adabu.

Ingekua nchi nyingine hawa vijana wangeozea jela, huwezi kuchezea tunu za taifa ambazo ni kielelezo na utambulisho wa taifa halafu uangaliwe tu. wimbo, bendera, na ngao za taifa zinapaswa kuheshimiwa na kila mwananchi. Mkiendelea kuachiwa, kuna siku mtaweka nembo ya chama chenu kwenye bendera ya taifa.
 
Huyo Nusrat inasemekana ameachiwa kwa makubaliano awe mmoja kati ya wale viti maalum watakaokwenda bungeni, ngoja tuone.
 
Serikali ikate rufaa, haiwezekani waachiwe wakati walifanya makosa, tokea lini bendera ya Taifa inapandishwa kwa wimbo wa CHADEMA?
 
Poleni sana, hawa jamaa wamesota hasa,,niliwahi kukaa lokapu masaa 36 ,eti kuna mdosi alinishitaki nimemfanyia Unlawfull detention,,juu alikua haeleweki kulipia accommodation,,
Niliona nimekaa jela miaka 30
 
Poleni sana makamanda. Kutakucha tu, ni suala la wakati tu. Taabu zenu sio bure mbele ya Mungu.
 
Clouds FM wanaimba wimbo wa taifa huku wakijiandaa kusoma taarifa yao ya habari na hawachukuliwi hatua zozote
 
Hawa Mungu aliwaepusha na kaburi pengine wangekuwepo uraiani wangeuliwa na CCM
 
Kweli kabisaaa SHETANI HAWEZI KUMSHINDA MUNGU kwenye Vita yoyote.
Kwa Sasa shetani anaweweseka kala kichapo Cha shoga mwizi Sasa jeshi lake limetawanyika kuomba msaada kwa mabeberu yao yanayounga mkono ushetani wao ushoga.
 
Back
Top Bottom