Kikwava
JF-Expert Member
- Sep 6, 2015
- 1,741
- 1,068
Toka muda wake wa kukaa madarakani Kama mwenyekiti wa chadema Taifa uishe Mh. Mbowe haonekani popote nchini, huku watu wakisubiri uchaguzi wa Mwenyekiti Mpya utangazwe inje ya Mbowe.
Mbowe na chadema wanatumia ruzuku ambazo Ni Kodi zetu kwahiyo tuna haki yakujua ameenda wapi na Kodi zetu.
Viongozi wa chadema jitokezeni mtoe taarifa ya alipo Mbowe
Mbowe na chadema wanatumia ruzuku ambazo Ni Kodi zetu kwahiyo tuna haki yakujua ameenda wapi na Kodi zetu.
Viongozi wa chadema jitokezeni mtoe taarifa ya alipo Mbowe