Viongozi wa CHADEMA jitokezeni hadharani mseme Mbowe alipo ana muda mrefu haonekani

Viongozi wa CHADEMA jitokezeni hadharani mseme Mbowe alipo ana muda mrefu haonekani

Billionea gani anakimbia na michango ya join the chain
1982 nikiwa nakunywa bia zangu Kilimanjaro Hotel Freeman Mbowe alikuwa Afisa Ulinzi pale BoT

Wakati huo Waziri Mwigullu akiwa darasa la kwanza nadhani 😀😀

Usimchukulie poa Bilionea Freeman
 
1982 nikiwa nakunywa bia zangu Kilimanjaro Hotel Freeman Mbowe alikuwa Afisa Ulinzi pale BoT

Wakati huo Waziri Mwigullu akiwa darasa la kwanza nadhani 😀😀

Usimchukulie poa Bilionea Freeman
Ubilionea wa kukwapua hela za join the chain
 
1982 nikiwa nakunywa bia zangu Kilimanjaro Hotel Freeman Mbowe alikuwa Afisa Ulinzi pale BoT

Wakati huo Waziri Mwigullu akiwa darasa la kwanza nadhani 😀😀

Usimchukulie poa Bilionea Freeman
Pale si alipelekwa na Baba mkwe?
 
1982 nikiwa nakunywa bia zangu Kilimanjaro Hotel Freeman Mbowe alikuwa Afisa Ulinzi pale BoT

Wakati huo Waziri Mwigullu akiwa darasa la kwanza nadhani 😀😀

Usimchukulie poa Bilionea Freeman
Hii ndiyo sababu inayomfanya aibe ruzuku ya chama?
 
Mzee Mbowe alibadilisha katiba ya CDM kwa ajili ya kuwa mwenyekiti wa KUDUMU,nilishasema bila kwenda mahakamani ili atolewe kwa nguvu ya mahakama hakuna namna ya yeye kuachia uwenyekiti.
Duu! Ndio mmefikia huku tena! Mahasimu wenu, na hasa CCM watakuwa wanachekelea mafarakano yenu!😢
 
Back
Top Bottom