Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Billionea gani anakimbia na michango ya join the chainWenzako akina Lucas Mwashambwa wako Kariakoo Kwenye uokozi wewe uko busy na Bilionea Freeman Mbowe 🐼
1982 nikiwa nakunywa bia zangu Kilimanjaro Hotel Freeman Mbowe alikuwa Afisa Ulinzi pale BoTBillionea gani anakimbia na michango ya join the chain
Ubilionea wa kukwapua hela za join the chain1982 nikiwa nakunywa bia zangu Kilimanjaro Hotel Freeman Mbowe alikuwa Afisa Ulinzi pale BoT
Wakati huo Waziri Mwigullu akiwa darasa la kwanza nadhani 😀😀
Usimchukulie poa Bilionea Freeman
Unazitamani sana nenda kakwapue na wewe kama ni jambo rahisi 🐼Ubilionea wa kukwapua hela za join the chain
Pale si alipelekwa na Baba mkwe?1982 nikiwa nakunywa bia zangu Kilimanjaro Hotel Freeman Mbowe alikuwa Afisa Ulinzi pale BoT
Wakati huo Waziri Mwigullu akiwa darasa la kwanza nadhani 😀😀
Usimchukulie poa Bilionea Freeman
Hii ndiyo sababu inayomfanya aibe ruzuku ya chama?1982 nikiwa nakunywa bia zangu Kilimanjaro Hotel Freeman Mbowe alikuwa Afisa Ulinzi pale BoT
Wakati huo Waziri Mwigullu akiwa darasa la kwanza nadhani 😀😀
Usimchukulie poa Bilionea Freeman
Duu! Ndio mmefikia huku tena! Mahasimu wenu, na hasa CCM watakuwa wanachekelea mafarakano yenu!😢Mzee Mbowe alibadilisha katiba ya CDM kwa ajili ya kuwa mwenyekiti wa KUDUMU,nilishasema bila kwenda mahakamani ili atolewe kwa nguvu ya mahakama hakuna namna ya yeye kuachia uwenyekiti.