Viongozi wa CHADEMA kukodi Ndege binafsi kuhudhuria Sherehe za uhuru wa Tanganyika ni matumizi mabaya ya fedha za ruzuku

Viongozi wa CHADEMA kukodi Ndege binafsi kuhudhuria Sherehe za uhuru wa Tanganyika ni matumizi mabaya ya fedha za ruzuku

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Muwe mnatunza kumbukumbu na muwe mnapanga ya kuponda

My take: Hii ni hasara ya kupinga kila jambo

USSR
chadema.jpg

Watanzania hawataki Ndege wanataka Maji; Naona viongozi wangu wakuu wakiwa ndani ya Maji kuelekea Mwanza. #chumaJPM.





kitendo cha Viongozi wa Chadema wakiwemo Mbowe, Heche, Lema kukodi Ndege binafsi kuwapeleka kuhudhuria Sherehe ya maadhimisho ya uhuru Tanganyika, ni matumizi Mabaya ya fedha za ruzuku.

Katika wakati ambao MBOWE amekuwa akituhumiwa kutumia vibaya fedha za Chama kwa maslahi binafsi ilitarajiwa kamati kuu ingekuwa mstari wa Mbele kukemea na kumfunga kidhibiti Mwendo mwenyekiti huyo ili kulinda fedha za Chama, kinyume chake ina bariki vitendo hivyo.

Hivi ni kweli viongozi hao walishindwa kutumia mabasi au Ndege za kawaida na kuokoa fedha ambazo zingesaidia kugharamia shughuli zingine za Chama.

Shime wanachama na wafuasi wa Chadema michango, ruzuku na misaada ya Chadema itaendelea kunufaisha maisha binafsi ya watu.

Waswahili wanamsemo kuiga jambo zuri si vibaya, Chadema wajifunze kwa Mhe Rais Magufuli kubana matumizi na fedha zinazookolewa zitumike kwenye mambo mengine ya muhimu.
 
Ni Wabinafsi sana hao jamaa, wanajiinjoy kwenye ndege zetu halafu wanaponda na kushangilia huku wakishirikiana na Muzungu kusabotage nchi yetu, ndege zetu zinashikwa wanashangilia tena wanampa Muzungu infos, Tundu Lisu ataishi maisha magumu sana kwa usaliti alioifanyia nchi yetu.
 
Hoja yako dhaifu. Ndege sio lazima zinunuliwe na serikali. Ila maji ni lazima yaletwe na serikali
sio lazima ziko sehemu kama kigamboni na temeke watu binafsi wana supply maji for years
 
Back
Top Bottom