Viongozi wa CHADEMA kutikisaa Kigoma wiki hii.

Viongozi wa CHADEMA kutikisaa Kigoma wiki hii.

oneblood

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2011
Posts
244
Reaction score
51
Wakuu sasa ninawapa habari ya uhakika kuhusu mikutano mikubwa ya CHADEMA inahusiana na rasimu ya katiba mpya na mchakato wake kiujumla itakayokuwa ikihutubiwa na viongozi wa kitaifa wakiongozwa na mwenyekiti wa CDM mh, Mbowe, Mnyika na pia walipaswa wawepo Tundu Lissu na profesa Safari bt sina uhakika kama watakuwepo coz nimeambiwa na chanzo changu kwamba wameitwa makao makuu kuna issue wanaenda kushughulikia bt kama kawaida yake pia nimeambiwa mh Zitto Kabwe hatokuwepo kwenye mikutano ya wilaya za Kakonko,Kibondo na Kasulu japo kimsingi alipaswa awepo kuwapoka wageni wake,
ratiba ipo hivi,jumapili ya kesho kuanzia majira ya saa 3 asubuhi watakuwa Kakonko mjini,then mida ya mchana kuanzia saa 7 watakuwa wanatoa elimu ya uraia wilayani kibondo.

kwa mujibu wa ratiba tarehe 19 watakuwa Kasulu na 20 kigoma mjini,mpaka sasa kiongfozi huyo wa wilaya ameniambia mambo yote ya muhimu yamekamilika,bt nitoe wito kwa Mbowe afanye kikao cha ndani na uongozi na wanachama kwani uongozi wa wilaya na jimbo ni mbovu na unaua chama na harakati zake,akatatue mambo, mtakumbuka niliwahi leta uzi hapa jukwaani kulalamikia uongozi wa taifa kuutenga mkoa wa kigoma bt naona majibu yameanza kutolewa kwa vitendo japo kiongozi mmoja wa makao aliniambia wanashindwa kuja kufanya harakati mkoani Kigoma kutokana na mapokezi hafifu na mabovu ya mwenyeji wao Zitto,.
kwa leo ni hayo tu,kuanzia kesho nitawaletea uptudates za kila kitu kitakachokuwa kinajili,
people'sssssssssssssssssssssssssssssssssss

  • 🙂
 
Hawa watu VITUKO kwelikweli.

Anayekubalika Kigoma wanamuacha wanachaguana kimagumashi!!!

Aibu nje nje...
 
Ficha upumbavu wako usifiche akili,Zitto mwenyewe anazingua mbona hata kabla ya ujio wa watu hawa yeye hajawahi fanya mikutano kwenye wilaya tajwa?yeye aendelee kuwa kiongozi wa kitaifa tu ,atuachie CDM yetu coz nimeambiwa ametuma lakilaki kwa kila wilaya ,ameona fedha ni muhimu kuliko uwepo wake


  • :tape:
 
Hawa watu VITUKO kwelikweli.

Anayekubalika Kigoma wanamuacha wanachaguana kimagumashi!!!

Aibu nje nje...



Ficha upumbavu wako usifiche akili,Zitto mwenyewe anazingua mbona hata kabla ya ujio wa watu hawa yeye hajawahi fanya mikutano kwenye wilaya tajwa?yeye aendelee kuwa kiongozi wa kitaifa tu ,atuachie CDM yetu coz nimeambiwa ametuma lakilaki kwa kila wilaya ,ameona fedha ni muhimu kuliko uwepo wake
 
Hawa watu VITUKO kwelikweli.

Anayekubalika Kigoma wanamuacha wanachaguana kimagumashi!!!

Aibu nje nje...

Huyo mwenyeji wako anaenda kwenye majimbo mengine wanapokubalika wenzie??! Wenzie kutwa wanakamatwa kwa udhalimu wa dola,yeye wapi kashawahi kuhudhuria na akasumbuliwa na dola??

Kuna msemo kuwa kijana ukiwa mnafiki na mzandiki basi ukizeeka utakua mwanga,na tushaona mifano kwa kauli za kuua hadi panya na haiyumkini kama ana busara au ndio kazi ya unafiki na umamluki imempotosha na kumpogosha ubongo!!!
 
Kesho nitawapa up date za makamanda wetu pindi watakapo wasili kakonko -kigoma.kwani hapa kakonko ndo nyumbani, pamoja sana makamanda
 
Ha haaa! Wasisahau kunywa maji ya nyakageni pale Gungu
 
napenda kumshauri zitto kuwa anajimaliza mwenyewe kwa kujitenga kwake,maana anaonekana msaliti na hivyo hataamiwa na mtu
 
Zitto anajimaliza mwenyewe, alipaswa kuwa frontline kwa mapenzi ya wana kigoma na watanzania kiujumla kuelekea kupata katiba mpya!
 
Wakuu sasa ninawapa habari ya uhakika kuhusu mikutano mikubwa ya CHADEMA inahusiana na rasimu ya katiba mpya na mchakato wake kiujumla itakayokuwa ikihutubiwa na viongozi wa kitaifa wakiongozwa na mwenyekiti wa CDM mh, Mbowe, Mnyika na pia walipaswa wawepo Tundu Lissu na profesa Safari bt sina uhakika kama watakuwepo coz nimeambiwa na chanzo changu kwamba wameitwa makao makuu kuna issue wanaenda kushughulikia bt kama kawaida yake pia nimeambiwa mh Zitto Kabwe hatokuwepo kwenye mikutano ya wilaya za Kakonko,Kibondo na Kasulu japo kimsingi alipaswa awepo kuwapoka wageni wake,
ratiba ipo hivi,jumapili ya kesho kuanzia majira ya saa 3 asubuhi watakuwa Kakonko mjini,then mida ya mchana kuanzia saa 7 watakuwa wanatoa elimu ya uraia wilayani kibondo.

kwa mujibu wa ratiba tarehe 19 watakuwa Kasulu na 20 kigoma mjini,mpaka sasa kiongfozi huyo wa wilaya ameniambia mambo yote ya muhimu yamekamilika,bt nitoe wito kwa Mbowe afanye kikao cha ndani na uongozi na wanachama kwani uongozi wa wilaya na jimbo ni mbovu na unaua chama na harakati zake,akatatue mambo, mtakumbuka niliwahi leta uzi hapa jukwaani kulalamikia uongozi wa taifa kuutenga mkoa wa kigoma bt naona majibu yameanza kutolewa kwa vitendo japo kiongozi mmoja wa makao aliniambia wanashindwa kuja kufanya harakati mkoani Kigoma kutokana na mapokezi hafifu na mabovu ya mwenyeji wao Zitto,.
kwa leo ni hayo tu,kuanzia kesho nitawaletea uptudates za kila kitu kitakachokuwa kinajili,
people'sssssssssssssssssssssssssssssssssss

  • 🙂
Ahsante kwa taarifa...
 
Zito hataki kabisa kuona CDM ikichanua Kigoma,huyu jamaa huwa simuelewi kabisa,anajitahidi kadri awezavyo kubomoa nyumba aliyoshiriki kuijenga!
 
Zito hataki kabisa kuona CDM ikichanua Kigoma,huyu jamaa huwa simuelewi kabisa,anajitahidi kadri awezavyo kubomoa nyumba aliyoshiriki kuijenga! Mi nakishauri chama kujijenga huko kigoma hata bila ya zito,ashirikishwe akikataa kazi ipigwe bila yeye,kigoma sio ya zito ni ya wana kigoma wote na wana historia ya kuwa wanamabadiliko!Chama kipige kazi kwa nguvu huko af mtaniambia matokeo
 
KIGOMA hatupendi wahuni kama nyie Chadema, huku ni NCCR Mageuzi na CCM .
Wakuu sasa ninawapa habari ya uhakika kuhusu mikutano mikubwa ya CHADEMA inahusiana na rasimu ya katiba mpya na mchakato wake kiujumla itakayokuwa ikihutubiwa na viongozi wa kitaifa wakiongozwa na mwenyekiti wa CDM mh, Mbowe, Mnyika na pia walipaswa wawepo Tundu Lissu na profesa Safari bt sina uhakika kama watakuwepo coz nimeambiwa na chanzo changu kwamba wameitwa makao makuu kuna issue wanaenda kushughulikia bt kama kawaida yake pia nimeambiwa mh Zitto Kabwe hatokuwepo kwenye mikutano ya wilaya za Kakonko,Kibondo na Kasulu japo kimsingi alipaswa awepo kuwapoka wageni wake,
ratiba ipo hivi,jumapili ya kesho kuanzia majira ya saa 3 asubuhi watakuwa Kakonko mjini,then mida ya mchana kuanzia saa 7 watakuwa wanatoa elimu ya uraia wilayani kibondo.

kwa mujibu wa ratiba tarehe 19 watakuwa Kasulu na 20 kigoma mjini,mpaka sasa kiongfozi huyo wa wilaya ameniambia mambo yote ya muhimu yamekamilika,bt nitoe wito kwa Mbowe afanye kikao cha ndani na uongozi na wanachama kwani uongozi wa wilaya na jimbo ni mbovu na unaua chama na harakati zake,akatatue mambo, mtakumbuka niliwahi leta uzi hapa jukwaani kulalamikia uongozi wa taifa kuutenga mkoa wa kigoma bt naona majibu yameanza kutolewa kwa vitendo japo kiongozi mmoja wa makao aliniambia wanashindwa kuja kufanya harakati mkoani Kigoma kutokana na mapokezi hafifu na mabovu ya mwenyeji wao Zitto,.
kwa leo ni hayo tu,kuanzia kesho nitawaletea uptudates za kila kitu kitakachokuwa kinajili,
people'sssssssssssssssssssssssssssssssssss

  • 🙂
 
KIGOMA hatupendi wahuni kama nyie Chadema, huku ni NCCR Mageuzi na CCM .
Join Date : 20th April 2013
Posts : 177
Rep Power : 353
Likes Received31
Likes Given88
Hongera muhuni wa sanaaaaaaaaaaa
 
karibuni sana kigoma viongozi wa chadema lakini kuhusu suala la zitto kutokuwepo kama ametoa udhuluu na akaeleweka syo mbaya lakn chadema ndo chama cha wana kigoma
 
Back
Top Bottom