Viongozi wa CHADEMA waenda Mapumzikoni Ulaya baada ya ziara ya +255

Viongozi wa CHADEMA waenda Mapumzikoni Ulaya baada ya ziara ya +255

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Salaam Wakuu

Viongozi wakuu wa CHADEMA wameanda zao Italy na Ujerumani baada ya kuhitimisha Ziara ya +255.

Chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, hivi kilizindua kampeni maalumu ya kudai katiba mpya ikiwa ni takribani wiki mbili tangu Rais Samia Suluhu wa nchi hiyo kutangaza azma ya kuufufua mchakato huo. Kampeni hiyo ilipewa jina la +255

Wamezunguka Mikoani kama wiki Mbili. Hata kabla ya Ratiba kuisha, wamekatiza ziara na kwenda kula bata Italia na Ujerumani.

Freeman Mbowe akiongozana na Tundu Lissu na John Mnyika. Walionekana Wakikatiza mitaa ya Italia huko Cadenabbia.

Wakati huo huo Mbowe ataongea leo kupitia zoom online kuhusiana na TAHARUKI ya bandari kuuzwa.

MY TAKE;
Tanzania tuna safari ndefu
 
Salaam Wakuu

Viongozi wakuu wa CHADEMA wameanda zao Italy na Ujerumani baada ya kuhitimisha Ziara ya +255.

Chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, hivi kilizindua kampeni maalumu ya kudai katiba mpya ikiwa ni takribani wiki mbili tangu Rais Samia Suluhu wa nchi hiyo kutangaza azma ya kuufufua mchakato huo. Kampeni hiyo ilipewa jina la +255

Wamezunguka Mikoani kama wiki Mbili. Hata kabla ya Ratiba kuisha, wamekatiza ziara na kwenda kula bata Italia na Ujerumani.

Freeman Mbowe akiongozana na Tundu Lissu na John Mnyika. Walionekana Wakikatiza mitaa ya Italia huko Cadenabbia.

Wakati huo huo Mbowe ataongea leo kupitia zoom online kuhusiana na TAHARUKI ya bandari kuuzwa.

MY TAKE;
Tanzania tuna safari ndefu
Wamekwenda kuramba buyu la asali!
 
Salaam Wakuu

Viongozi wakuu wa CHADEMA wameanda zao Italy na Ujerumani baada ya kuhitimisha Ziara ya +255.

Chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, hivi kilizindua kampeni maalumu ya kudai katiba mpya ikiwa ni takribani wiki mbili tangu Rais Samia Suluhu wa nchi hiyo kutangaza azma ya kuufufua mchakato huo. Kampeni hiyo ilipewa jina la +255

Wamezunguka Mikoani kama wiki Mbili. Hata kabla ya Ratiba kuisha, wamekatiza ziara na kwenda kula bata Italia na Ujerumani.

Freeman Mbowe akiongozana na Tundu Lissu na John Mnyika. Walionekana Wakikatiza mitaa ya Italia huko Cadenabbia.

Wakati huo huo Mbowe ataongea leo kupitia zoom online kuhusiana na TAHARUKI ya bandari kuuzwa.

MY TAKE;
Tanzania tuna safari ndefu
Umeanza lini tabia ya Uongo ?
 
Salaam Wakuu

Viongozi wakuu wa CHADEMA wameanda zao Italy na Ujerumani baada ya kuhitimisha Ziara ya +255.

Chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, hivi kilizindua kampeni maalumu ya kudai katiba mpya ikiwa ni takribani wiki mbili tangu Rais Samia Suluhu wa nchi hiyo kutangaza azma ya kuufufua mchakato huo. Kampeni hiyo ilipewa jina la +255

Wamezunguka Mikoani kama wiki Mbili. Hata kabla ya Ratiba kuisha, wamekatiza ziara na kwenda kula bata Italia na Ujerumani.

Freeman Mbowe akiongozana na Tundu Lissu na John Mnyika. Walionekana Wakikatiza mitaa ya Italia huko Cadenabbia.

Wakati huo huo Mbowe ataongea leo kupitia zoom online kuhusiana na TAHARUKI ya bandari kuuzwa.

MY TAKE;
Tanzania tuna safari ndefu
Usipojua siasa za Bongo kichwa lazima kiume. Ubaya CCM wanajua wapinzani shida yao si ikulu bali mambo yao yaende!
 
Kuna namna CCM wanavyoendesha mambo yao na kuna namna wapinzani wanavyoendesha mambo yao, na utofauti huo unanonesha waziwazi jinsi ambavyo CCM itaitawala hii nchi hadi Yesu atakaporudi. Seriously, hivi watu wa Ulaya ndio watakaopiga kura come 2025? Katika mitaa hii ninayoishi nimewaona UVCCM jinsi walivyokuwa wakimobilize vijana toka ngazi za chini huku, wakiwaingizia na kuwalisha itikadi na mikakati ya chama kwenye vikao vyao vya ndani katika mfumo wa kitaasisi. Vijana hawahawa baadaye wanakuja kuwa na influence ya ajabu kwenye jamii. Hapo bado hatujazungumzia influence ya UWT.

Nikiwatazama Chadema na Ulaya yao, na Ubelgiji yao, huwa nabaki kucheka, na mikutano yao ya hadhara ya uhamasishaji baada ya kutoka Ubelgiji, yaani ni kituko kabisa. Siasa ni watu na usipoweza kuwateka watu katika maisha yao ya kawaida we kubali kwamba siasa sio za nchi hiyo huziwezi.
 
Usipojua siasa za Bongo kichwa lazima kiume. Ubaya CCM wanajua wapinzani shida yao si ikulu bali mambo yao yaende!
Na watanzania wenyewe mpaka sasa hawajui nini hasa wanakihitaji !! Inaelekea kila mtu anafukuzia nyuki zilipo ili alambe Asali !!
 
Salaam Wakuu

Viongozi wakuu wa CHADEMA wameanda zao Italy na Ujerumani baada ya kuhitimisha Ziara ya +255.

Chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, hivi kilizindua kampeni maalumu ya kudai katiba mpya ikiwa ni takribani wiki mbili tangu Rais Samia Suluhu wa nchi hiyo kutangaza azma ya kuufufua mchakato huo. Kampeni hiyo ilipewa jina la +255

Wamezunguka Mikoani kama wiki Mbili. Hata kabla ya Ratiba kuisha, wamekatiza ziara na kwenda kula bata Italia na Ujerumani.

Freeman Mbowe akiongozana na Tundu Lissu na John Mnyika. Walionekana Wakikatiza mitaa ya Italia huko Cadenabbia.

Wakati huo huo Mbowe ataongea leo kupitia zoom online kuhusiana na TAHARUKI ya bandari kuuzwa.

MY TAKE;
Tanzania tuna safari ndefu
Catherine Ruge nae kaenda?
 
Kuna namna CCM wanavyoendesha mambo yao na kuna namna wapinzani wanavyoendesha mambo yao, na utofauti huo unanonesha waziwazi jinsi ambavyo CCM itaitawala hii nchi hadi Yesu atakaporudi. Seriously, hivi watu wa Ulaya ndio watakaopiga kura come 2025? Katika mitaa hii ninayoishi nimewaona UVCCM jinsi walivyokuwa wakimobilize vijana toka ngazi za chini huku, wakiwaingizia na kuwalisha itikadi na mikakati ya chama kwenye vikao vyao vya ndani katika mfumo wa kitaasisi. Vijana hawahawa baadaye wanakuja kuwa na influence ya ajabu kwenye jamii. Hapo bado hatujazungumzia influence ya UWT.

Nikiwatazama Chadema na Ulaya yao, na Ubelgiji yao, huwa nabaki kucheka, na mikutano yao ya hadhara ya uhamasishaji baada ya kutoka Ubelgiji, yaani ni kituko kabisa. Siasa ni watu na usipoweza kuwateka watu katika maisha yao ya kawaida we kubali kwamba siasa sio za nchi hiyo huziwezi.
Wapiga kelele kina heche wameachwa , ikikata ruzuku ndio wataambiwa wapige kelele kuichokonoa Serikali itoke Tena 😁
 
Kuna namna CCM wanavyoendesha mambo yao na kuna namna wapinzani wanavyoendesha mambo yao, na utofauti huo unanonesha waziwazi jinsi ambavyo CCM itaitawala hii nchi hadi Yesu atakaporudi. Seriously, hivi watu wa Ulaya ndio watakaopiga kura come 2025? Katika mitaa hii ninayoishi nimewaona UVCCM jinsi walivyokuwa wakimobilize vijana toka ngazi za chini huku, wakiwaingizia na kuwalisha itikadi na mikakati ya chama kwenye vikao vyao vya ndani katika mfumo wa kitaasisi. Vijana hawahawa baadaye wanakuja kuwa na influence ya ajabu kwenye jamii. Hapo bado hatujazungumzia influence ya UWT.

Nikiwatazama Chadema na Ulaya yao, na Ubelgiji yao, huwa nabaki kucheka, na mikutano yao ya hadhara ya uhamasishaji baada ya kutoka Ubelgiji, yaani ni kituko kabisa. Siasa ni watu na usipoweza kuwateka watu katika maisha yao ya kawaida we kubali kwamba siasa sio za nchi hiyo huziwezi.
aise!!
 
Wapiga kelele kina heche wameachwa , ikikata ruzuku ndio wataambiwa wapige kelele kuichokonoa Serikali itoke Tena 😁
Pia wataanxa kuitisha michabgo ya wanachama kuendesha kampeni 2025

Wamepewa mabilioninys Ruzuku wanayala 2025 watasumbua wanachama na.mabakuli ya michango na operation za.changia Chama

Chadema kuna mchwa pesa ikiingia wanaehuka kuitafuna
 
Salaam Wakuu

Viongozi wakuu wa CHADEMA wameanda zao Italy na Ujerumani baada ya kuhitimisha Ziara ya +255.

Chama kikuu cha upinzani, CHADEMA, hivi kilizindua kampeni maalumu ya kudai katiba mpya ikiwa ni takribani wiki mbili tangu Rais Samia Suluhu wa nchi hiyo kutangaza azma ya kuufufua mchakato huo. Kampeni hiyo ilipewa jina la +255

Wamezunguka Mikoani kama wiki Mbili. Hata kabla ya Ratiba kuisha, wamekatiza ziara na kwenda kula bata Italia na Ujerumani.

Freeman Mbowe akiongozana na Tundu Lissu na John Mnyika. Walionekana Wakikatiza mitaa ya Italia huko Cadenabbia.

Wakati huo huo Mbowe ataongea leo kupitia zoom online kuhusiana na TAHARUKI ya bandari kuuzwa.

MY TAKE;
Tanzania tuna safari ndefu
Kukiwa na kuuza bandari ndo mnawakumbuka akina Mbowe, wakati wa kupiga kura mnakuwa wapi?
 
Back
Top Bottom