Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Sikushangai mjivuni....Unabisha nini kapuku wewe?
Karibu Kilwa nikufundishe uvuvi uache siasa koko na vurugu chadema...
Sifanani na huyo zwazwa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikushangai mjivuni....Unabisha nini kapuku wewe?
Huyu mama apunguze uoga na kwa nini asiulize Msoga waliishije na upinzani kunapo semekana Kuna washauri wake?Hii ndio mbinu ya Kishamba iliyobuniwa na Makaburu wa S.Africa enzi za ubaguzi wa Rangi, Mandela huku wengine kule
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Nchimbi aiagiza Serikali kuwaachia Viongozi wa CHADEMA
Ongea kama una akili,wamekosea nn hd wakamatwe na policcm?Lini viongoz wako wa ccm walikamatwa?CDM wakichekewa hakika watalitia moto taifa hili...
#Nchi Kwanza [emoji7]
Sasa unafanya nini JF tena jukwaa la siasa muda huu?Kapige kasia uvue dagaa.Sikushangai mjivuni....
Karibu Kilwa nikufundishe uvuvi uache siasa koko na vurugu chadema...
Sifanani na huyo zwazwa...
Kazi ya Masabuni hiyo; anapigania Koloni Tanganyika lisijinasue kwenye ukoloni toka nchi ya Zanzibar.Hii ndio mbinu ya Kishamba iliyobuniwa na Makaburu wa S.Africa enzi za ubaguzi wa Rangi, Mandela huku wengine kule
Niko mtumbwini hapa....kasia nalipiga na JF sibanduki....[emoji1787]Sasa unafanya nini JF tena jukwaa la siasa muda huu?Kapige kasia uvue dagaa.
Mawazo mgando haya....Kazi ya Masabuni hiyo; anapigania Koloni Tanganyika lisijinasue kwenye ukoloni toka nchi ya Zanzibar.
Sina hakika kama anajua kuwa kufanya hivi ndivyo anavyo zidi kuchochea moto. Hata wajinga mwishowe wataondokana na ujinga kwa mtindo huu unaotumika kulishikilia koloni.
Bavicha wana mambo ya ovyo kama GenZ wa Kenya. Sijui ni bhangi???Kwa hili ndio mmewasha moto, kiburi ndio kimemponza Ruto
Ya kwako yapo wapi?Mawazo mgando haya....