Viongozi wa Chama cha Ngumi za kulipwa wakiongozwa na Chaurembo Palasa Wasimamishwa

Viongozi wa Chama cha Ngumi za kulipwa wakiongozwa na Chaurembo Palasa Wasimamishwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa hii imesambazwa na Wizara ya michezo , na kwamba wamesimamishwa kupisha uchunguzi.

Bado haijajulikana Wanachunguzwa kuhusu nini.

Bali uongozi huu kwa kadiri ninavyofahamu ndio Uongozi wa ngumi za kulipwa unaongoza kwa kuwabeba mabondia wazalendo bila aibu yoyote, hata wanapopigwa hupewa sare ama hupewa Ushindi wa Magumashi.

Hongera sana kwa Wizara kwa uamuzi huu
 
Nadhani waliowasimamisha walipaswa kusema kwa Nini wamewasimamisha nje ya hapo wanaweza kuendelea na majukumu Yao kama kawaida
 
Taarifa hii imesambazwa na Wizara ya michezo , na kwamba wamesimamishwa kupisha uchunguzi.

Bado haijajulikana Wanachunguzwa kuhusu nini.

Bali uongozi huu kwa kadiri ninavyofahamu ndio Uongozi wa ngumi za kulipwa unaongoza kwa kuwabeba mabondia wazalendo bila aibu yoyote, hata wanapopigwa hupewa sare ama hupewa Ushindi wa Magumashi.

Hongera sana kwa Wizara kwa uamuzi huu
Bandika hilo tangazo
 
Back
Top Bottom